Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Man!!! Right back atchu babes

chile-fans_oyo0x346p8py112dxrwyolsty.jpg
 
Last edited by a moderator:
Hahh.. ana jitetea tu, mbona hayo maneno hasemagi akiwa barcelona?

Mtu kwao.....anaongea ukweli, hii ndo roho ya Argentina na akipata uchezaji bora ni sawa kabisa kwi kwi kwi kwi!!!!!
 
Roho ya argentina ni angie di assist maria, we hukumbuki hata kwenye ile fainal ya kombe la dunia di maria alipokua majeruhi.. messi was nuffin but kirikuu..

Heheeeeee!!! Mimi MANU damu ila kwa hili hapana sipo na wewe!!!!! Sema nafasi anayocheza haimruhusu kufunga magoli ila amsha amsha zake balaa, usitake nianze kushusha hapa stats za ADM na Messi.......Messi is the Spirit of Argentina, ADM can be a heart .....
 
Mhh!!! Ntakumiss bana usifanye hivyo. ........au ndo na Mimi umeshanipa ile kitu kila siku niwe after you? Nikumiss nikutafute kila wakati.....no mtongozo at all....Rofl

Hahaha hujatulia kabisa. Tutatafuta namna tu mi na wewe, wala usiwaze.
 
Si naona mnavojaribu kunitenga kwa nguvu zote😕

Hahaha!!! Tatizo na wewe umezubaa sana yaani kusoma hujui hata picha? Kila nikikubwipu hubwipiki .....utapishana na mambo mazuri shaur yuko!!!......LOL
 
Hahahaha!!! Am I dancing to the tunes??..... Papupi umelike hapo ili Iweje? Ili uje unifunge eeeeh???....😀😛

Hahaha the tunes are played to dance moves in this case.

Si naona mnavojaribu kunitenga kwa nguvu zote

Hahaha inabidi tuje na idea nyingine tutakutana kama hivi tuendeleze 'upendo' kwa Kirikuu aisee.
 
Hahaha!!! Tatizo na wewe umezubaa sana yaani kusoma hujui hata picha? Kila nikikubwipu hubwipiki .....utapishana na mambo mazuri shaur yuko!!!......LOL

Hahah.. kuna kipind wakat mou anafundisha inter milan waliwah kufungwa sasa muandish akamuuliza, kwanini mmefungwa? Yeye alijibu nadhani mwezi umekuja wakati mbaya coz wachezaji wangu wamefunga.. so its same to me here, TATIZO MWEZI.. lol
 
Hahah.. kuna kipind wakat mou anafundisha inter milan waliwah kufungwa sasa muandish akamuuliza, kwanini mmefungwa? Yeye alijibu nadhani mwezi umekuja wakati mbaya coz wachezaji wangu wamefunga.. so its same to me here, TATIZO MWEZI.. lol

Aiseee!!! Pole sana ila ushauri hapo Juu wa Paulo Sergio De Souz uzingatie sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom