Roger Sterling JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 13,010 Reaction score 23,653 Jun 25, 2015 #881 CHILE: Bravo; Isla, Medel, Jara, Mena, Díaz, Aránguiz, Vidal, Valdivia, Alexis y Vargas URUGUAY: Muslera; Pereira, Giménez, Godín, Fucile, Ríos, Á.González, Sánchez, Cebolla, Rolan y Cavani
CHILE: Bravo; Isla, Medel, Jara, Mena, Díaz, Aránguiz, Vidal, Valdivia, Alexis y Vargas URUGUAY: Muslera; Pereira, Giménez, Godín, Fucile, Ríos, Á.González, Sánchez, Cebolla, Rolan y Cavani
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #882 Hadi sasa dk 31 Chile 0 - 0 Uru
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jun 25, 2015 #883 Naona chile wanataka bao la kuongoza kipindi cha kwanza
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #884 Dk 63 Cavani anapigwa kadi ya pili ya njano na inakuwa nyekundu... Kadi zote kapata kwa upumbavu wake... Ya kwanza kwa kumzonga mwamuzi msaidizi, ya pili kwa kumtia kerebu/singe mwenzake(ingawaje kaingizwa mkenge)...
Dk 63 Cavani anapigwa kadi ya pili ya njano na inakuwa nyekundu... Kadi zote kapata kwa upumbavu wake... Ya kwanza kwa kumzonga mwamuzi msaidizi, ya pili kwa kumtia kerebu/singe mwenzake(ingawaje kaingizwa mkenge)...
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #885 Hili goma likiisha bila kufungana hadi dk 90, tutashuhudia matuta...
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jun 25, 2015 #886 Watu8 said: Hili goma likiisha bila kufungana hadi dk 90, tutashuhudia matuta... Click to expand... Kwani hakuna extra time mkuu?
Watu8 said: Hili goma likiisha bila kufungana hadi dk 90, tutashuhudia matuta... Click to expand... Kwani hakuna extra time mkuu?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #887 Papupi said: Kwani hakuna extra time mkuu? Click to expand... Hakuna kaka...
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #888 Dk 80 Chile 0 - 0 Paraguay
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #889 Goaaaal Dk 81 Mauricio Isla anatia kitu kambani... Chile 1 - 0 Uru
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jun 25, 2015 #890 Cavan kawaua wenzake kwa upu.mbavu wake
Chimo JF-Expert Member Joined Aug 31, 2008 Posts 714 Reaction score 364 Jun 25, 2015 #891 Kadi ya njano ya pili ni Uonevu wazi hawa waamuzi wengine wanakuwa na haraka saana kutoa maamuzi mabovu
Kadi ya njano ya pili ni Uonevu wazi hawa waamuzi wengine wanakuwa na haraka saana kutoa maamuzi mabovu
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #892 Papupi said: Cavan kawaua wenzake kwa upu.mbavu wake Click to expand... Kadi ya kwanza bila shaka ni uduanzi wake... Kadi ya pili katafutiwa..
Papupi said: Cavan kawaua wenzake kwa upu.mbavu wake Click to expand... Kadi ya kwanza bila shaka ni uduanzi wake... Kadi ya pili katafutiwa..
Chimo JF-Expert Member Joined Aug 31, 2008 Posts 714 Reaction score 364 Jun 25, 2015 #893 Vurugu Uwanja mzima
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #894 Duh!! Dk 85 Jorge Fucile wa Uruguay anapigwa kadi nyekundu Mechi imesimama imetokea tafrani uwanjani...
Duh!! Dk 85 Jorge Fucile wa Uruguay anapigwa kadi nyekundu Mechi imesimama imetokea tafrani uwanjani...
Chimo JF-Expert Member Joined Aug 31, 2008 Posts 714 Reaction score 364 Jun 25, 2015 #895 Refa kushindwa kulimudu pambano
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jun 25, 2015 #896 Refa kumbe ----- huyu yy na wasaidiz wake
Chimo JF-Expert Member Joined Aug 31, 2008 Posts 714 Reaction score 364 Jun 25, 2015 #897 Muuruguay Mwingine anakula red baada ya faulu ya kawaida kabisa kumfanyia Alexis sanchez
Papupi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2014 Posts 2,029 Reaction score 3,245 Jun 25, 2015 #898 Chimo said: Muuruguay Mwingine anakula red baada ya faulu ya kawaida kabisa kumfanyia Alexis sanchez Click to expand... Refa na msaidiz wake wamezingua
Chimo said: Muuruguay Mwingine anakula red baada ya faulu ya kawaida kabisa kumfanyia Alexis sanchez Click to expand... Refa na msaidiz wake wamezingua
Chimo JF-Expert Member Joined Aug 31, 2008 Posts 714 Reaction score 364 Jun 25, 2015 #899 Kwa hali hii Mabingwa watetezi wanavuliwa leo..kwanza Uruguay hawakuwa na Mshambuliaji yoyote nyota ukiwacha huyu cavan ambaye nae hajafanya chochote cha maana mechi zote nne
Kwa hali hii Mabingwa watetezi wanavuliwa leo..kwanza Uruguay hawakuwa na Mshambuliaji yoyote nyota ukiwacha huyu cavan ambaye nae hajafanya chochote cha maana mechi zote nne
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,285 Reaction score 108,302 Jun 25, 2015 #900 FT Chile 1 - 0 Uru Uruguay anavuliwa ubingwa... Chile anasonga mbele nusu fainali...