Special Thread, COPA America 2015

Inaelekea jamaa walitaka kumpa mkong'oto baada ya game kwisha. Hapa anaonekana akiwa analindwa na FFU.






 
ARGENTINA: Romero, Zabaleta, Garay, Demichelis, Rojo, Mascherano, Biglia, Pastore, Di María, Messi, Higuaín
 
JAMAICA: Miller, Lawrence, Morgan, Hector, Laing, Mariappa, Austin, Watson, Mcanuff, McCleary, Brown
 
Hivi United wanashindwa vipi kumtumia Di Maria?

Umeanza mambo yako....... Jibu ni kwamba ligi ya Uingereza ni ngumu... Hahahaha.... Mfumo wa LVG kwake ni mgumu pia ugeni lakini hata nahivyo he was better somehow ngoja tumcheki this season....


Higuaniiiiiiii!!!!!!!
 
Umeanza mambo yako....... Jibu ni kwamba ligi ya Uingereza ni ngumu... Hahahaha.... Mfumo wa LVG kwake ni mgumu pia ugeni lakini hata nahivyo he was better somehow ngoja tumcheki this season....


Higuaniiiiiiii!!!!!!!

Hehe mi nimeuliza tu, sina ubaya na United.

Hilo goli lilipikwa Madrid, Fideo + Pipita.
 
Hehe mi nimeuliza tu, sina ubaya na United.

Hilo goli lilipikwa Madrid, Fideo + Pipita.

Hahahaha!! Leo nakaa pembeni nataka uripoti mambo yote ya uwanjani .....usivyompenda sasa ndo jikaze tu ....ukipindisha ntakuwa nakuja kukuumbua.... Lol
 
Inaelekea jamaa walitaka kumpa mkong'oto baada ya game kwisha. Hapa anaonekana akiwa analindwa na FFU.


Ahhh!!! Sasahiv pipo zimechoka kabisa juzi waliwazomea kweli kweli Taifa stars....
 

Hapo bila ubishi mwali tungemchukua maana tunatisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…