Mkuu ndo timu yetu na wachezaji waliochukuliwa ndo wanaofanya vizuri kwenye vilabu vyao, hatuna namna itabidi tuivumilie tu hivyo hivyo, tuombe Mbwana Samata na Ulimwengu wawahi labda wataokoa jahazi.
Mkuu ndo timu yetu na wachezaji waliochukuliwa ndo wanaofanya vizuri kwenye vilabu vyao, hatuna namna itabidi tuivumilie tu hivyo hivyo, tuombe Mbwana Samata na Ulimwengu wawahi labda wataokoa jahazi.
tunavumilia sana ila hawa wanazidi......mtu unahamu ya kuangalia mpira ila ukishaanza tu unaishia kukasilika, wachezaji wanacheza kwa kunyata sana utadhani wanacheza mpira wa maana.....wamezubaa utadhani wanaumwa.....hakuna ile kucheza kwa kujituma na kutumia akili kwa ajili ya taifa, pale naona ni kipa Ivo mapunda pamoja na beki Yondani ndio wanaonyesha uhai......wengine ni kuruka ruka tu.