zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
- Thread starter
- #181
Let's make it real thenHuu Uzi unaharibiwa na masihara mengi!!
Let's make it real thenHuu Uzi unaharibiwa na masihara mengi!!
masihara gani .Let's make it real then
Nakuuliza swalimasihara gani .
Nani mimiKwanini umeamua kuja na ID mpya kijana?
Mkuu mbona mimi ndo mara yangu ya kwanza Ku join JF nilijiunga 26 July 2020 na sijawahi kubadilisha ID ni vile tu mi mtundu Ila sijakuwa sana bado sina muda mrefu JF ndo maana unaona threads zangu zingine ni so funny.Wewe si ni yule kijana...kijana ambaye yuko lonely sometimes/most of the time...anapenda kujifunza sana ni below 24 pia kuna kipindi nilihisi kama kapata/ulikuwa katika Depression flan hv..na issue za mademu kama kaanza basi hajakomaa kabisa... natania...bt I know you...
The issue is kwann unatumia ID tofauti tofauti? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?
God is a spirit of three natures
1.Father
2.Son
3.Holy Spirit
Thanks for the referenceCrap
Bullshit
Nonsense
Hizi hadithi mnatoa wapi mungu ni mmoja hakuna miungu watatu
Nimefika mkuu.
How are you doing?Nimefika mkuu.