Special :Questions And Answers (Q and A)

Siku ya hukumu ya Mungu kwa waja wake, wale wote waliokufa kabla ya kushuka kwa dini hesabu yao itakuwa Ni pepo au motoni?
 
Wakuu jukwaa la wa kubwa mambo yetu yaale mbona leo silioni kwangu. Au limetolewa? Mi ni member wa longtime
 
Wewe si ni yule kijana...kijana ambaye yuko lonely sometimes/most of the time...anapenda kujifunza sana ni below 24 pia kuna kipindi nilihisi kama kapata/ulikuwa katika Depression flan hv..na issue za mademu kama kaanza basi hajakomaa kabisa... natania...bt I know you...
The issue is kwann unatumia ID tofauti tofauti? Nini kinakusukuma kufanya hivyo?
Mkuu mbona mimi ndo mara yangu ya kwanza Ku join JF nilijiunga 26 July 2020 na sijawahi kubadilisha ID ni vile tu mi mtundu Ila sijakuwa sana bado sina muda mrefu JF ndo maana unaona threads zangu zingine ni so funny.
Hata ukiwauliza wana JF watakwambia I'm new na sijabadilisha ID I'm just being active and happy to use the platform
 
Back
Top Bottom