Msenyele
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 338
- 86
Nilipeleka kwa fundi kwa ajili ya kubadilishwa IC ya sound bahati mbaya ikawa imepigwa short.
Mwenye nayo au anayeweza kujua zinapopatika anijuze maana Mwanza nilizunguka mji mzima sikupata.
Jukwaa hili naliamini na natumaini nitapata, naomba kuwasilisha.
Mwenye nayo au anayeweza kujua zinapopatika anijuze maana Mwanza nilizunguka mji mzima sikupata.
Jukwaa hili naliamini na natumaini nitapata, naomba kuwasilisha.