Spain sasa ufalme wake unaelekea ukingoni

Spain sasa ufalme wake unaelekea ukingoni

dume la siafu

Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Wapenzi na mashabiki wa footbal mambo ndivyo yalvyokua ucku huu wa leo, brzl kamuonesha spain uwezo kwa kumbugiza 3 mtungi mbele ya viungo wake xv na iniesta hi inafungua ukurasa mpya kwa soka la kibrzl mashabiki wanatarajia makbwa wc.
 
Warudishe kwanza Form(kiwango cha team zao) za Barcelona na Real Madrid ndo wanaweza kurudia utawala wao katika soka la kimataifa.
 
Uwezo wa Xavi na Iniesta ni mzuri..ila hawana jipya. Nafikiri wangemchezesha..Carzola au Fabregas ili angalau kuweka mtindo tofauti. Sasa Brazil walichezesha mafundi wazuri wa kutibua mbinu za wapinzani wao: PAULINHO & LUIZ GUSTAVO.

Katikati walizuia mashambulizi ya adui, kisha wakaendelea kutumia uimara wao, Brazili wanashambulia vizuri sana kutokea pembeni, kwa DANI ALVES & MARCELO...Kipa pia alicheza vizuri sana..SCOLARI ni kocha mzuri pia. Hasa anapofundisha timu ya taifa.
 
Scorali nimemkubali mzee wa mbinu za kimpira!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom