South Sudan inaweza kuwa fursa kwa wafanyabiashara

Nassib Sanga

Senior Member
Aug 11, 2012
169
108
Jana nimeangalia television kikao cha EAC na nimeona South Sudan imekuwa admitted katika jumuiya yetu ya Afrika Mashariki. Nadhani hii inaweza kuwa nafasi kwa wafanyabiashara kupeleka vitu kule maana South Sudan almost wanahitaji kila kitu.
 
Jana nimeangalia television kikao cha EAC na nimeona South Sudan imekuwa admitted katika jumuiya yetu ya Afrika Mashariki. Nadhani hii inaweza kuwa nafasi kwa wafanyabiashara kupeleka vitu kule maana South Sudan almost wanahitaji kila kitu.
Mkuu nasibu habari za siku nyingi
 
Kule construction must be booming... How do I give it a try?
 
hawa jamaa wana pesa kwa sababu wana mafuta ila shida ni watu magumashi sana (NGUVU 9 AKILI 1) vita na ni wavivu sana wengi wao wamekimbilia ughaibuni kama wakimbizi na baadhi yao wapo Kenya Nairobi na Eldoret wakilishwa/kulipiwa kodi na UNHCR na ndugu zao wanawatumia pesa. biashara huko ujitoe ufahamu maana matukio ya kuuwawa ni mengi mno. Bora tujikite kwa watani zetu kenya na nchi za SADC (Malawi, Zambia, Zimbabwe, Botswana, South Africa n.k)
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom