Kweli mkuu hii nchi ina mambo mengi ya kushangaza. Na baada ya kuona jambo hili watu wengi hawalipendi wameona waanzie chini kwa chini kwa kuwadanganya wasomi wetu uchwara eti wawaongezee muda wa kustaafu so called professors na senior doctors wanaofundisha vyuoni. Hii ni janja siasa ili wakiibua la wanasiasa kuongezewa muda, hawa wanaojiita wasomi wakose pa kusemea maana watawahoji mbona mlipoongezewa muda wa kustaafu hamkukataa? Miaka sitini kustaafu ni sahihi hata uwe professor - wapo vijana nao wapewe hizo nafasi ili nao waweze kupanda na kufikia huo uprof.