Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
You are being tenebrous and vague here. Be precise in your answer please.
Magonjwa Mtambuka ,
Go back and check your facts you will understand the principles of the cycle.
You are being tenebrous and vague here. Be precise in your answer please.
You are being even more caliginous and evasive. Have we finally come to a cul de sac? Which facts are you talking about?Magonjwa Mtambuka ,
Go back and check your facts you will understand the principles of the cycle.
Ni bora amejithathmini mapema na kuondoka bila shuruti vinginevyo angeondolewa kwa aibu kama Mugabe. Bado Museveni. Hivi hawa vichaa wa kiafrika wakiingia madarakani vichaa vyao huongezeka mara dufu?View attachment 695852
Rais wa South Africa Jacob Zuma ametangaza kuachia wadhifa wake wa Urais leo Februari 14, 2018
Zuma ametangaza leo wakati akitoa ujumbe kwa wananchi kupitia runinga
Mapema chama chake cha ANC kilimtaka Zuma kuachia madaraka au la sivyo kusubiri uamuzi wa kura za maoni uliokuwa ufanyike Bungeni Alhamisi ya tarehe 15
Zuma mwenye miaka 75 aliyeongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2009 amekuwa akipata shinikizo la kujiuzulu na kumuachia uongozi Rais ANC na Makamu wa nchi, Cyril Ramaphosa
Pia Zuma amesema hajafurahishwa kwa namna Chama chake kilivyomfanyia
======
South Africa's embattled President Jacob Zuma has resigned his office with immediate effect.
He made the announcement in a televised address to the nation on Wednesday evening.
Earlier, Mr Zuma's governing ANC party told him to resign or face a vote of no confidence in parliament on Thursday.
The 75-year-old has been under increasing pressure to give way to Deputy President Cyril Ramaphosa, the ANC's new leader.
Mr Zuma, who has been in power since 2009, faces numerous allegations of corruption.
His resignation came at the end of a long speech in which he said he disagreed with the way the ANC had acted towards him.
He said he did not fear a motion of no confidence, adding: "I have served the people of South Africa to the best of my ability."
BBC
...Maswali ya kipimbi haya, huna Tv? Huwezi ku Google kwenye simu yako?
Wengine wanajitathimini na kuona bora waondoke ila huko nchi ya zimbobo wanatumia darasa la saba na fa fa fa fa fa fa fa kutaka kuongezewa muda kutoka miaka 5 hadi 7 kwa temu.
Trump pana mahala yuko sahihi japo siyo katika mambo yote.
he didNo he has..
MainMorgan!! Who is Morgan
Anaumia moyoni madaraka matamu sasa anayaachia ikiwa nafsi bado inayatamani.Kidogo chozi limtoke mwishoni mwa speech.....
Hivi inakuwaje Unaona Uzi umeanzishwa na Mwingine kuhusu kujiuzulu kwa Zuma nawe unaingia kwenye uzi huo huo na kuleta habari ileile!!!?Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ametangaza rasmi usiku huu kujiuzulu nafasi yake ya Urais na kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano mkubwa waliompa wakati alipokuwa madarakani.Tukio hilo limerushwa live na TV ya afrika kusini SABC.