jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Siku ICTR ikitenda haki yaani waliohusika na mauaji ya watu mwaka 1990 mpaka 1994 Rwanda wote wafikishwe mahakamani bila kujali x-FAR wala RPF na pia waliohusika na mauaji ya mashariki mwa DRC nao wafikishwe ICTR, am telling you tutafungua magereza mengine kama mikoa mitano maana naamini kwamba anaishinda vita ndiye anakuwa ameua zaidi
na hilo jambo ndilo linalomfanya kagame aogope watu 1500!, ni kwa sababu hawa 1500 ni wakimbizi wa mauaji yake. wakiachiwa waongee siasa watakumbushia kilichopelekea wao kujikuta DRC. Hivyo anafanya kila mbinu warudishwe kimya kimya wawe chini yake ili historia hii ifutike.