Kuleta huku huo udaku ndiyo umekuza tatizo, achana na page za udaku Suriya wafanye yao ndiyo kazi zao zinazowalipa, maua mwenyewe hawezi hata kukasirika au kumkera ila wewe imekukera
Binafsi naona kama akili zenu zinafanana. Kama anachokiwaza unaona hakina mantiki kwanini uendelee kukisambaza?. "Common sense is not common to every human being"
Binafsi naona kama akili zenu zinafanana. Kama anachokiwaza unaona hakina mantiki kwanini uendelee kukisambaza?. "Common sense is not common to every human being"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.