Soud Brown wa Clouds FM yupo juu.

Soud Brown wa Clouds FM yupo juu.

mhalisi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,181
Reaction score
322
kwa wale wanaosikiliza kipindi cha XXL cha Clouds fm watakuwa wanaifahamu segment ya "YOU HEARD" ambayo mtangazaji wa segment hiyo ni Soud Brown. mara nyingi ukimsikiliza lazima utacheka maana ni full vituko. utacheka hasa pale anaposema kwenye gazeti la Makorokocho leo kuna bonge la storiiiiiiiii.
 
umelipwa shilingi ngapi kuja kumtangaza hapa?
 
una Umri gani?unafanya nini sasa ?je umeoa au kuolewa?unaweza kueleza kiufupi kuhusu familia yako ?
 
:bored::bored::bored:
 
Back
Top Bottom