Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,162
- 10,011
Kwa hiyo Mtukufu hakuolijua hili tokea Mwanzo Mpaka kumpa ubalozi ?Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Kwa hiyo Mtukufu hakuolijua hili tokea Mwanzo Mpaka kumpa ubalozi ?Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Ya kubeba maburungutu ya Pesa. ?? Dah lizabini huwa nawaza akili zako zikoje.....!! Yaani MTU abebe mabilioni kuwahongo watu bado unaona ni kesi ndogo ndani ya chama. Na kubwa ni kumkataa ngosha na kusema unataka luwasa..Kwa makosa yake haikustahili kupewa Onyo
We hapo ulipo hata ukiambiwa ubokolewe na Makengeza uko tayari! Nyumbu bana!Nyumbu ni nyinyi mnaongozwa na mtindo wa zidumu fikra za mwenyekiti.
Wewe hata akisema leo hii uolewa huwezi hata kuhoji bali utakubali tu.
hebu itupie tena huku tujikumbushe.nahisi nilisikia sauti ya sofii peke yake !!!&Mimi ile video namuona PM akiimba pia..
Ni MWANAMKE..!Kwani kosa la Sofia Simba ni nini zaidi yeye afukuzwe, wengine waonywe?
Tz ya viwonderwangepotezwa wote...ila kwani kum support Lowassa si ilikuwa imeshaisha? au walikuwa wana msupport chini kwa chini?
Hakatazwi akitaka aje anakaribishwa kwenye demokrasia ya kweli.Chadema jembe hilo sasa....akiungana na Wema Sepetu ccm haichomoi 2020.
Yule mupe yule murukewangepotezwa wote...ila kwani kum support Lowassa si ilikuwa imeshaisha? au walikuwa wana msupport chini kwa chini?
Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.