Sophia Simba ameanza kuogopa mkwala wa Mnyika

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kwa vile nimjuavyo Sophia ni mwingi wa vijembe nilitegemea jana kwenye mkutano wa Baraza Kuu la UWT-CCM ajibu mapigo ya Mnyika lakini amenywea sana alikuwa mpole kuliko muda wote wakati anataja neno Chadema, kumbe mkwala nao unasaidia, big up dogo hakikisha CDM inatekeleza azima yake ya kumfikisha mahakamani.
 
Kwa vile nimjuavyo Sophia ni mwingi wa vijembe nilitegemea jana kwenye mkutano wa Baraza Kuu la UWT-CCM ajibu mapigo ya Mnyika lakini amenywea sana alikuwa mpole kuliko muda wote wakati anataja neno Chadema, kumbe mkwala nao unasaidia, big up dogo hakikisha CDM inatekeleza azima yake ya kumfikisha mahakamani.
Safi sana Mnyika,kwa speed hii CCM na waropokaji wao itafikia mahali watatafuta uchochora wakujililia kwa madudu waliyo ya sababisha .Unajua hawa wadudu ilifrika wakati walijiona kama hii nji ni mali yao binafsi.Wito wangu kwa Mnyika kama kuna ma evidence yakutosha ni kukaza tu mwanzo mwisho lengo si kukomoana bali ifikie mahali Serikali ione umuhimu wa kua na watendakazi makini na si kwa sifa za kujuana ,mara alikua demu wangu enzi za xcul yaani full maduduwangu na inatuongezea waropokaji,shortly huu uongozi wa kulipana fadhira ndio ulio tuingiza kwenye tope zito kwa miaka 6 mizima .Kuna wakati mi hua natamani hata nilivae bomu kimyakimya nikajilipue tu pale magogoni (Dont think just like i h've criminal thinking nooo!!cause najihisi kukatishwa tamaa na Serikali yangu,unakuta m2 amesomeshwa kwa taabu kwa kipato cha Mama muuza mboga mtaani na Baba mkata mkaa na amefanya vizuri lakini mwisho wa siku dah!!!anyway siku moja kitaeleweka tu........CHADEMA siku hizi ni kitu nyingine aisee na kwa jinsi kinavyo kimbiza kwa viwango ....anything could happen b4 2015.
 
Safi sana Mnyika,kwa speed hii CCM na waropokaji wao itafikia mahali watatafuta uchochora wakujililia kwa madudu waliyo ya sababisha .Unajua hawa wadudu ilifrika wakati walijiona kama hii nji ni mali yao binafsi.Wito wangu kwa Mnyika kama kuna ma evidence yakutosha ni kukaza tu mwanzo mwisho lengo si kukomoana bali ifikie mahali Serikali ione umuhimu wa kua na watendakazi makini na si kwa sifa za kujuana ,mara alikua demu wangu enzi za xcul yaani full maduduwangu na inatuongezea waropokaji,shortly huu uongozi wa kulipana fadhira ndio ulio tuingiza kwenye tope zito kwa miaka 6 mizima .Kuna wakati mi hua natamani hata nilivae bomu kimyakimya nikajilipue tu pale magogoni (Dont think just like i h've criminal thinking nooo!!cause najihisi kukatishwa tamaa na Serikali yangu,unakuta m2 amesomeshwa kwa taabu kwa kipato cha Mama muuza mboga mtaani na Baba mkata mkaa na amefanya vizuri lakini mwisho wa siku dah!!!anyway siku moja kitaeleweka tu........CHADEMA siku hizi ni kitu nyingine aisee na kwa jinsi kinavyo kimbiza kwa viwango ....anything could happen b4 2015.
Unajua hawa jamaa walifikia hatua ya kuijiona wako free kila mtu akijisikia kuropoka anaita waandishi wa habari au kwenda TBC kuropoka.
 
2015..............................................................................................
 
kila kitu kina taratibu zake.kwanza anapewa mda kisheria kufuta au kudhibitisha kauli yake,atakaposhindwa hatua ya mahakama inafuatwa.nadhani ndivyo chadema walivyojipanga.
 
Back
Top Bottom