Kwa vile nimjuavyo Sophia ni mwingi wa vijembe nilitegemea jana kwenye mkutano wa Baraza Kuu la UWT-CCM ajibu mapigo ya Mnyika lakini amenywea sana alikuwa mpole kuliko muda wote wakati anataja neno Chadema, kumbe mkwala nao unasaidia, big up dogo hakikisha CDM inatekeleza azima yake ya kumfikisha mahakamani.