Serendipity
JF-Expert Member
- Jan 24, 2009
- 486
- 43
Wana JF salaam!
Ama baada ya salaam, ningependa kufahamu(kukumbushwa) kama Mh. Sophia Simba alihudhuria Zile series za semmina Elekezi zilizofanyika kwa mawaziri na watumishi wengine wa juu sirikalini.(Inaonyesha kama vile hakuhudhuria)
Pili, kwa kua tunaelekea mwanzo wa mwisho wa kipindi cha kwanza kwa uongozi wa JK, je hizi semina ziliwasaidia wahusika? Na je watanzania tumefaidika na semina hizo?(kwa maana ya ufanaisi katika utendaji wa mawaziri na wakuu wengine serikalini)
Nawakilisha.
Ama baada ya salaam, ningependa kufahamu(kukumbushwa) kama Mh. Sophia Simba alihudhuria Zile series za semmina Elekezi zilizofanyika kwa mawaziri na watumishi wengine wa juu sirikalini.(Inaonyesha kama vile hakuhudhuria)
Pili, kwa kua tunaelekea mwanzo wa mwisho wa kipindi cha kwanza kwa uongozi wa JK, je hizi semina ziliwasaidia wahusika? Na je watanzania tumefaidika na semina hizo?(kwa maana ya ufanaisi katika utendaji wa mawaziri na wakuu wengine serikalini)
Nawakilisha.