Yaani hiyo simu mkuu ni zaidi ya samaki.
Mi nilikuwa nayo ikifika usiku naizima halafu naiweka kwenye ndoo iliyojaa maji asubuhi naitoa nachukua kitambaa naifuta vizuri tayari kwa matumizi...
Yaani yenyewe ukiiweka sehemu kavu inaweza hata kuzima ila kwenye maji utaipenda!.