Sony Xperia Z3

bindira Tz

New Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
4
Reaction score
1
Habari za muda huu waungwana

Kwanza natanguliza samahani kama nitakuwa nawaboa ila kiukweli nataka kujua

Hivi ni kweli sony xperia z3 ni water proof

Mimi nimenunua juzi simu ya aina hiyo nataka kujaribu kuweka kwenye maji ila naogopa

Naombeni wataalamu mnifahamishe zaidi
 
Usiweke kwenye maji ya vugu vugu weka kwenye maji ya baridi sana yaliyotoka kwenye friji(simu expensive,maji expensive maana yamekula umeme hadi kuwa ya baridi)
 
Ndio. Jaribu utupe mrejesho
 
Kama una manual ya hiyo simu utajua nini cha kufanya kwa wakati gani na wakati sahihi, otherwise fuata ushauri uliopewa hapo juu

Ulete mrejesho
 
Yaani hiyo simu mkuu ni zaidi ya samaki.
Mi nilikuwa nayo ikifika usiku naizima halafu naiweka kwenye ndoo iliyojaa maji asubuhi naitoa nachukua kitambaa naifuta vizuri tayari kwa matumizi...
Yaani yenyewe ukiiweka sehemu kavu inaweza hata kuzima ila kwenye maji utaipenda!.
 
Isizid dk 30
Iwe orjino
Na haijapata mushkeli
 
Wakuu mnachekesha wallahi.

Wewe mdau hiyo simu ni waterproof japo sikushauri ujaribu kuizamisha, sumu haiojwi.
 
Kama una manual ya hiyo simu utajua nini cha kufanya kwa wakati gani na wakati sahihi, otherwise fuata ushauri uliopewa hapo juu

Ulete mrejesho
Ah nimekupenda bure yani hahahahah, JF nki boko
 
Kwaiyo Sony Xperia kama samaki vile
 
zinasumbuaga hata mm ni fundi naletewaga mara kibao zmeingia maji.pia lt 25i
 
Try and fail is experience
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…