Barcode ya national ID tunategemea kukuta detail za mhusika, kikija, kitu tofauti, mashaka Yana Anza.Inategemeana imehifadhi nini hiyo barcode unaweza kuta link au maelezo fulani.
Mti wenye matunda.
Sasa usiponunua Sony kwa mziki mkali wa nyumbani kwa soko letu la bongo utanunua kipi zaidi? Walau Panasonic Hometheatre ndio wanaweza cheza ligi moja na Sony japo adimu sana sokoni. Ila wengine matapeli tu hasa wale wakorea Shamesung na mwenzie LifeGoat!Hakuna home theatre nzuri kama za Sony, kwanza mziiki mnene na wa uhakika, USB ina play kama kawaida sema inabagua aina za USB.
Yeahz, kuna jamaa juzi nilimpa maelekezo amefurahia sana. Mwanzo alikuwa hainjoi mziki wake.Inaezekana ikawa sababu?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ngoja nimchek bas akinitumia setting zake nita upload hapaYeahz, kuna jamaa juzi nilimpa maelekezo amefurahia sana. Mwanzo alikuwa hainjoi mziki wake.
Mie ninayo hio ikiwa kwenye default settings unaeza sema fake maana ziki linakuwa jepesi sana!
Kinachofanya iwe na mziki laini sana ni mpangilio wa Front speakers na hizo surrounds speakers. Mwambie ahakikishe speaker zenye alama L(Left) zote ziko upande mmoja na zenye R(Right) zote ziko upande mmoja pia! Unapochanganya front L & surround R upande mmoja huwa inafanya kama ku-neutralize Bass ya Sub-Woofer hapo! Pia Home theatre za Sony huwa surrounds speakers zinakaa kwenye position ya kuangaliana na Front speakers,sio zote unaweka mahali moja! Surronds weka juu nyuma ya makochi yako ziwe zinapiga kwa nyuma yako.Inaezekana ikawa sababu?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Kinachofanya iwe na mziki laini sana ni mpangilio wa Front speakers na hizo surrounds speakers. Mwambie ahakikishe speaker zenye alama L(Left) zote ziko upande mmoja na zenye R(Right) zote ziko upande mmoja pia! Unapochanganya front L & surround R upande mmoja huwa inafanya kama ku-neutralize Bass ya Sub-Woofer hapo! Pia Home theatre za Sony huwa surrounds speakers zinakaa kwenye position ya kuangaliana na Front speakers,sio zote unaweka mahali moja! Surronds weka juu nyuma ya makochi yako ziwe zinapiga kwa nyuma yako.
Pia kama anataka kuongeza Bass ahakikishe ameconnect HDMI na TV yake, then DAV iwe kwenye USB au DVD Mode then afungue SETUP, atapata settings za kurekebisha speakers zote kuanzia za mbele mpaka surrounds na level ya volume anayotaka kwa moja moja...kama asipoelewa nitawawekea video hapa ya namna ya kuiset SONY DAV-DZ650.
Hii system ni nzuri sana ni watu wanashindwa tu kuitumia. USB inachagua sana, inatakiwa uwe na Flash Disk genuine, hizi za hovyo hovyo haiplay kabisa na pia kwa USB inaplay Mp3 format na AAC tu kww AUDIO files wakati Video inaplay only XVID(.avi), ukiweka mp4 itacatch audio tu! Ila upande wa DVD ,audio inaplay Mp3, AAC na .flac formats, na video files upande wa DVD inaplay almost zote as long as umeburn CD yako kwa mfumo wa DVD Video. Ndo maana ikaitwa SONY DVD Hometheatre system. Wamefanya makusudi kuondoa luxury kwenye USB ili iendane na TV yake ya SONY BRAVIA ndo maana kwenye remote ya hiyo home theatre kuna mahali imeandikwa BRAVIA sync, hapo kama una TV ya SONY BRAVIA unakuwa unacontrol kila kitu kwa remote ya Radio.
Pia kwa wale wapenda movies huu ndo mdude wetu sasa, kwenye surrounds control kuna mode inaitwa DOLBY PL, hii ukifungua inaruhusu surrounds zipige kwa 5.1 Dolby stereo channels, kwa kweli utajihisi kama uko Cinema kama umepangilia speaker zako vizuri.
All the best, ila nikuhakikishie hakuna mziki wa maana kama SONY HOME THEATREView attachment 1063029
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni kwamba Sony wamejitahidi kutengeneza system ambazo ni affordable kwa watu wengi. Ila kuna systems za Hi-Fi ambazo sony hafikii kabisa ila pia hazigusiki bei mkuu, kwa mfano ukitane na Hisense Hi-Fi system ina Front speakers 4 na surrounds 4, na ina 8,000Watts Bass Blast Woofer mkuu! Mara ya mwisho niliona mwaka jana ilikuwa inauzwa 8.9Million mkuuKibongo bongo lakini. Tukija kidunia sony kwenye sound hafikiriwi kabisa.
Mti wenye matunda.
Pamoja mkuu...ukipata hyo video basi iweke hapa nimuanganishie na hayo maelezo na video juu..Kinachofanya iwe na mziki laini sana ni mpangilio wa Front speakers na hizo surrounds speakers. Mwambie ahakikishe speaker zenye alama L(Left) zote ziko upande mmoja na zenye R(Right) zote ziko upande mmoja pia! Unapochanganya front L & surround R upande mmoja huwa inafanya kama ku-neutralize Bass ya Sub-Woofer hapo! Pia Home theatre za Sony huwa surrounds speakers zinakaa kwenye position ya kuangaliana na Front speakers,sio zote unaweka mahali moja! Surronds weka juu nyuma ya makochi yako ziwe zinapiga kwa nyuma yako.
Pia kama anataka kuongeza Bass ahakikishe ameconnect HDMI na TV yake, then DAV iwe kwenye USB au DVD Mode then afungue SETUP, atapata settings za kurekebisha speakers zote kuanzia za mbele mpaka surrounds na level ya volume anayotaka kwa moja moja...kama asipoelewa nitawawekea video hapa ya namna ya kuiset SONY DAV-DZ650.
Hii system ni nzuri sana ni watu wanashindwa tu kuitumia. USB inachagua sana, inatakiwa uwe na Flash Disk genuine, hizi za hovyo hovyo haiplay kabisa na pia kwa USB inaplay Mp3 format na AAC tu kww AUDIO files wakati Video inaplay only XVID(.avi), ukiweka mp4 itacatch audio tu! Ila upande wa DVD ,audio inaplay Mp3, AAC na .flac formats, na video files upande wa DVD inaplay almost zote as long as umeburn CD yako kwa mfumo wa DVD Video. Ndo maana ikaitwa SONY DVD Hometheatre system. Wamefanya makusudi kuondoa luxury kwenye USB ili iendane na TV yake ya SONY BRAVIA ndo maana kwenye remote ya hiyo home theatre kuna mahali imeandikwa BRAVIA sync, hapo kama una TV ya SONY BRAVIA unakuwa unacontrol kila kitu kwa remote ya Radio.
Pia kwa wale wapenda movies huu ndo mdude wetu sasa, kwenye surrounds control kuna mode inaitwa DOLBY PL, hii ukifungua inaruhusu surrounds zipige kwa 5.1 Dolby stereo channels, kwa kweli utajihisi kama uko Cinema kama umepangilia speaker zako vizuri.
All the best, ila nikuhakikishie hakuna mziki wa maana kama SONY HOME THEATREView attachment 1063029
Sent using Jamii Forums mobile app
Video narecord tu mwenyewe hapa, ndo natumia hiyo DAVPamoja mkuu...ukipata hyo video basi iweke hapa nimuanganishie na hayo maelezo na video juu..
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Itapendeza sana mkuu...mana jamaa wangu anataka kuiuza bei ya hasara
Naiupload mkuu muda sio mrefu...mwambie asiuze, kibongo bongo Sony ndo baba lao, labda kama atakuwa na mpunga mrefu akachukue za juu zaidi kama Hisense, Phillips, .....maana hata samsung au LG ni za kawaida sana hazikuti hyo SONYItapendeza sana mkuu...mana jamaa wangu anataka kuiuza bei ya hasara
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Okey poa poa mkuuNaiupload mkuu muda sio mrefu...mwambie asiuze, kibongo bongo Sony ndo baba lao, labda kama atakuwa na mpunga mrefu akachukue za juu zaidi kama Hisense, Phillips, .....maana hata samsung au LG ni za kawaida sana hazikuti hyo SONY
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna home theatre nzuri kama za Sony, kwanza mziiki mnene na wa uhakika, USB ina play kama kawaida sema inabagua aina za USB.
Hapo ni kwamba Sony wamejitahidi kutengeneza system ambazo ni affordable kwa watu wengi. Ila kuna systems za Hi-Fi ambazo sony hafikii kabisa ila pia hazigusiki bei mkuu, kwa mfano ukitane na Hisense Hi-Fi system ina Front speakers 4 na surrounds 4, na ina 8,000Watts Bass Blast Woofer mkuu! Mara ya mwisho niliona mwaka jana ilikuwa inauzwa 8.9Million mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp mkuu bado?Naiupload mkuu muda sio mrefu...mwambie asiuze, kibongo bongo Sony ndo baba lao, labda kama atakuwa na mpunga mrefu akachukue za juu zaidi kama Hisense, Phillips, .....maana hata samsung au LG ni za kawaida sana hazikuti hyo SONY
Sent using Jamii Forums mobile app
Video inazingua kuupload...Vp mkuu bado?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Sasa usiponunua Sony kwa mziki mkali wa nyumbani kwa soko letu la bongo utanunua kipi zaidi? Walau Panasonic Hometheatre ndio wanaweza cheza ligi moja na Sony japo adimu sana sokoni. Ila wengine matapeli tu hasa wale wakorea Shamesung na mwenzie LifeGoat!
Sema kuzipata sasa
Kinachofanya iwe na mziki laini sana ni mpangilio wa Front speakers na hizo surrounds speakers. Mwambie ahakikishe speaker zenye alama L(Left) zote ziko upande mmoja na zenye R(Right) zote ziko upande mmoja pia! Unapochanganya front L & surround R upande mmoja huwa inafanya kama ku-neutralize Bass ya Sub-Woofer hapo! Pia Home theatre za Sony huwa surrounds speakers zinakaa kwenye position ya kuangaliana na Front speakers,sio zote unaweka mahali moja! Surronds weka juu nyuma ya makochi yako ziwe zinapiga kwa nyuma yako.
Pia kama anataka kuongeza Bass ahakikishe ameconnect HDMI na TV yake, then DAV iwe kwenye USB au DVD Mode then afungue SETUP, atapata settings za kurekebisha speakers zote kuanzia za mbele mpaka surrounds na level ya volume anayotaka kwa moja moja...kama asipoelewa nitawawekea video hapa ya namna ya kuiset SONY DAV-DZ650.
Hii system ni nzuri sana ni watu wanashindwa tu kuitumia. USB inachagua sana, inatakiwa uwe na Flash Disk genuine, hizi za hovyo hovyo haiplay kabisa na pia kwa USB inaplay Mp3 format na AAC tu kww AUDIO files wakati Video inaplay only XVID(.avi), ukiweka mp4 itacatch audio tu! Ila upande wa DVD ,audio inaplay Mp3, AAC na .flac formats, na video files upande wa DVD inaplay almost zote as long as umeburn CD yako kwa mfumo wa DVD Video. Ndo maana ikaitwa SONY DVD Hometheatre system. Wamefanya makusudi kuondoa luxury kwenye USB ili iendane na TV yake ya SONY BRAVIA ndo maana kwenye remote ya hiyo home theatre kuna mahali imeandikwa BRAVIA sync, hapo kama una TV ya SONY BRAVIA unakuwa unacontrol kila kitu kwa remote ya Radio.
Pia kwa wale wapenda movies huu ndo mdude wetu sasa, kwenye surrounds control kuna mode inaitwa DOLBY PL, hii ukifungua inaruhusu surrounds zipige kwa 5.1 Dolby stereo channels, kwa kweli utajihisi kama uko Cinema kama umepangilia speaker zako vizuri.
All the best, ila nikuhakikishie hakuna mziki wa maana kama SONY HOME THEATREView attachment 1063029
Sent using Jamii Forums mobile app
Naiupload mkuu muda sio mrefu...mwambie asiuze, kibongo bongo Sony ndo baba lao, labda kama atakuwa na mpunga mrefu akachukue za juu zaidi kama Hisense, Phillips, .....maana hata samsung au LG ni za kawaida sana hazikuti hyo SONY
Sent using Jamii Forums mobile app