BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,494
- 5,690
Wadau,hasa wataalamu,nimenunua hii camera kwa sh laki moja,
Sijui nimeliwa au vipi maana hii mambo zina ufahamu wake,
From Japan ila haina memory, jamaa kasema nikanunulie tu haina shida.
Sasa INA sifa za ziada au dosari zake ili niwe na pre caution kabisa.
Natangulisha shukrani za dhati.
Sijui nimeliwa au vipi maana hii mambo zina ufahamu wake,
From Japan ila haina memory, jamaa kasema nikanunulie tu haina shida.
Sasa INA sifa za ziada au dosari zake ili niwe na pre caution kabisa.
Natangulisha shukrani za dhati.