Wadau nauza tv ya sony Bravia 37EX23, ni kutoka Uk imeingizwa nchini week mbili zilizopita,ni brand new ina internet widget,LED,WIFI,HDMI and 3D kwa yeyote ambae yuko interested ani PM
Mkuu uko sawa,ili ni toleo jipya na ina features nyingi sana,sitauza kwa bei ya tamaha ila pia ni ngumu kuuza kwa bei ulizotaja maana si unajua kuna shipping na hapa nyumbani wanakuchapa ushuru wa kutosha tu,so angalau nirudishe hela yangu na nipate hela ya maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.