Songea: Basi la kampuni ya Super Feo lapinduka na kuua

Songea: Basi la kampuni ya Super Feo lapinduka na kuua

Nchi ina waziri wa usafirishaji na uchukuzi, kuna kamanda wa vikosi vya usalama barabarani nini wajibu wao kwa haya yanayotokea!?!?

Kazi yao ni kutoa matamko yasiyo na mashiko
 
Kwa usalama wenu sasa tembeeni kwa miguu tu ndo usafiri salama salimini kwa sasa
 
hizi ajali zilizofululiza wiki 2 hizi, zinahusisha mabasi ya kichina yaani YUTONG.
mi nadhani pia tuangalie hilo, isije ikawa ni mechanical failures za Chinese machines

hapa unawasingizia wachina..
1. ajali ya kule mara uso kwa uso...inamaana wachina wanafanya dereve aone barabara haina gar kumbe lipo?
2. Basi lililotumbukia korongoni huko moro baada ya dereva kushindwa kulala na kona.....speed 140km/hr kwenye kona bado unamlaumu mchina?

Labda tumlaum mchina kuleta kitu lain ukikanyaga inaserereka tu...waturudishie letland Daf max speed 55km/hr
 
Picha za ajali

attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • jf super feo2.JPG
    jf super feo2.JPG
    35.5 KB · Views: 3,387
  • Jf super feo.jpg
    Jf super feo.jpg
    33.8 KB · Views: 3,345
  • Jf super feo1.JPG
    Jf super feo1.JPG
    34 KB · Views: 867
TZ tuombe msaada toka kwa jumuia za kimataifa watusaidie kwa hili maana imekuwa ni zaidi ya Ebola.
 
At least ametoa sadaka, siku nyingi amekua kimya maana historia ya huyo mmiliki mmmmhhh
 
hizi ajali zilizofululiza wiki 2 hizi, zinahusisha mabasi ya kichina yaani YUTONG.
mi nadhani pia tuangalie hilo, isije ikawa ni mechanical failures za Chinese machines

Ile ya tabora mabus mawili na bus la airbus yalikuwa Yutong?
 
masai dada, ndio yenyewe hii iliyokatisha maisha ya watu.
 
Last edited by a moderator:
nimeangalia picha kwenye blog kwa hiyo link hapo juu kuna picha ya basi kabla halijaanza safari likiwa stend na baada ya ajari, inamaana aliyepiga picha alijua kuwa kuna ajari itatokea au!? kama sio ina maana huwa anapiga picha mabasi yote kabla hayajatoka!
 
Back
Top Bottom