Songea: Basi la kampuni ya Super Feo lapinduka na kuua

Songea: Basi la kampuni ya Super Feo lapinduka na kuua

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,163
Reaction score
11,230
attachment.php

Watu wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 wamejuruhiwa baada ya basi la kampuni ya Super Feo kupinduka katika eneo la Sanangula nje kidogo ya mji wa Songea.

attachment.php

Basi hilo lilikuwa likitokea Songea kwenda mkoani Mbeya.

Bonyeza hapa chini ,kusikiliza
[JFMP3]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=184284&d=1410346291[/JFMP3]

Chanzo: ITV Breaking news
 

Attachments

Duh hawa jamaaa sasa nadhani wabawakomoa trafiki. Yaani tukose wote
 
Watu wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 20 wamejuruhiwa baada ya basi la kampuni ya Super Feo kupinduka katika eneo la Sanangula nje kidogo ya mji wa Songea.

Basi hilo lilikuwa likitokea Songea kwenda mkoani Mbeya.

Chanzo: ITV Breaking news

Hii Hali Sasa Ni Mbaya.
 
hizi ajali zilizofululiza wiki 2 hizi, zinahusisha mabasi ya kichina yaani YUTONG.
mi nadhani pia tuangalie hilo, isije ikawa ni mechanical failures za Chinese machines
 
Wameamua kuchinja mwanzo mwisho du,na katika nchi za afrika nilizotembea tz ndio nchi inayoongoza kwakuwa na torch njiani.
 
Jaman kwa hali hii ukitaka kusafiri kwa bus andika kabisa wosia na utubu thambi zako zote....maana ukifika salama shukuru Mungu
 
Kunasiku tutasikia na Ndege!! N vyema kuchukua tahadhar kubwa kwa sasa! Polen wate walio guswa na misiba pamoja na majeruhi..

Mungu awaponye wenye majeraha, na awape faraja waliofikwa na misiba, wale wanaosafiri awe pamoja nao.
 
Nchi ina waziri wa usafirishaji na uchukuzi, kuna kamanda wa vikosi vya usalama barabarani nini wajibu wao kwa haya yanayotokea!?!?
 
hizi ajali zilizofululiza wiki 2 hizi, zinahusisha mabasi ya kichina yaani YUTONG.
mi nadhani pia tuangalie hilo, isije ikawa ni mechanical failures za Chinese machines

nop,na haya mangine mdau,mfano mwanza coach na J4,then last week MOROBEST,
 
Back
Top Bottom