Songa: The best Rapper Alive

Songa: The best Rapper Alive

Huo mtazamo wako, wengine tunamuona wa kawaida tu. Kwa wasanii wa Tamadun/waliopita hapo mimi listi ya top5 ntakupangia hivi,

1. Nick Mbishi
2. One Incredible
3. Stereo
4. Nash MC
5. P The MC or Songa or Male

Umeapatia mkuu Nick Mmbishi aka baba Malcolm hana mpinzani bongo!! Kwa karne hii
 
Hao wote ni best rappers wa only Vilingeni ila sio Bongo.
Best rappers wa Bongo wanajulikana.
By the way HISIA ZA MOYONI ya SONGA IKO IS MY BEST RAP SONG THIS MONTH
 
SONGA kuwa best rapper ni bado sana... em kawaskilize wakina P the MC na Zaiid... kabla sijakutajia wengine....
 
kauli yako nzito sana sijajua unaitetea vipi....but kwa tamaduni artists nikki mbishi ndo ana reign supreme...sema kuna vitu inabidi avifanyie kazi haswa live perfomance, pia ajifunze kujieleza mbele ya hadhira.
 
Binafsi Songa namkubali na ile style yake dizain ya Rap katuni flani ndio inafanya awe mkali zaidi, Kuna watu wameanza kumfananisha na Azma Mponda humu, hivi kweli Songa anaweza kufananishwa na Azma? Acheni utani wandugu.
 
Public Enemy nani mkali kati ya Azma na Songa a.k.a story teller
Mwanga wa kuwanga huwezi kuja ninapanga lakupanga S.O.N.G.A THE UNLIMITED BINAFSI NAMKUBALI ZAIDI YA Azma. Nasali kila siku sio lazima sala kwenye msala......
1. Niite Songa
2. Demoghasia
3. Daarasa huru
4. Sorry
5. Fallen Roses
niite Mr. wa tenzi sugu..... Hebu zisikilize hizo tu kwanza halafu fananisha na nyimbo za bwana Azma Mponda, sisemi kwamba Azma ni mbaya na huwa namsikiliza sana tu pia lakini SONGA mwache asonge tu.
 
1. fid q
2. one the incredible
3. wakazi
4. zaiid
5. J.C.B
OVA
 
Joh makini
Fid q
Jay mo
Lord eyes
Nikki Mbishi
Profesa Jay
Solo thang
Chindo Man
Stamina
Mwana Fa
Godzilla
Darassa
Wengine ongezea....
Hao ndo rapers wakali Bongo.Kila mtu ana ladha yake na umuhimu wake katika hiphop industry ya Bongo.
 
1.Fid q
2.Fa.
3.Jay more.
4.prof.Jay
5.Niki wa pili.
6.Afande sele.
7.Chindo man.
8.Stereo.
9.Sugu.

10.One incrediBle

Namba hizo hazina uhusiano wowote!!
 
Hisia za moyoni 2napakua wapi wadau.

Hisia za moyoni moja ya nyimbo bora kabisa za hip hop 2015.

Anakwambia....
Kama kazi yako ni dhambi unazani malipo nini! /nipe shavu urushe kofi kwa ruksa kuliko mwinyi...

Fani ah/inabidi utoe money brah /nikapate upepo unguja kisiwa cha zanzibar /mi ni mkali Dar /ata ukinitupa Kenya nitarun 254 muulize caligraph /kawaida kwa mlevi kupata ajari bar....

Rhymes zenye misingi na kanuni za uhandishi wa hiphop tupu.
 
Back
Top Bottom