Songa, p the Mc na Nash Mc

Songa, p the Mc na Nash Mc

Kizibo

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
4,608
Reaction score
10,476
Kusema kweli hawa jamaa wa Tamaduni Music nawaelewa sana, uandishi wao, beat wanazotembea nazo na content/maudhui wanayoimba huwa nabarikiwa sana.

Na hivi Niko zangu geto nasikiliza ENZI ZA UTOTO yake SONGA huku natabasamu nyuma ya keyboard
 
Hivi mnaukumbuka mlima oldonyo lengai, mlima wa mungu uliopewa jina la kimasai/
 
Cheki cypher ya castle lite unlocks YouTube uone kizazi kipya cha rap
 
Kusema kweli hawa jamaa wa Tamaduni Music nawaelewa sana, uandishi wao, beat wanazotembea nazo na content/maudhui wanayoimba huwa nabarikiwa sana.

Na hivi Niko zangu geto nasikiliza ENZI ZA UTOTO yake SONGA huku natabasamu nyuma ya keyboard
PicsArt_03-05-01.47.48.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom