Somo la uchumi nililosoma, basi lina matatizo!

Somo la uchumi nililosoma, basi lina matatizo!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,647
Reaction score
14,646
Nimesomea somo la uchumi na kujua fika jinsi ya kuipa thamani pesa.
Pesa inabidi izunguke ili ipate thamani
Pesa ndiyo legal tender ambayo ikibadili mikono tu, inapata faida ukiwekeza vizuri.
Pesa ndio dhamana pekee unayoweka benki na ukadai riba.

Huwezi kuweka nyumba benki na ukadai riba, ingawaje tunajua sote nyumba inaweza kuongezeka thamani.
Sasa kitendo cha kutoifanyia biashara ,hasa hizi para governmental bodies , kitendo kinanikanganya.

Kweli kuna viongozi wengine wanaweka fedha za umma benki na kupata faida ambayo iko nje ya mfumo ya bajeti.

Lakini kimsingi , hiyo ni frugality, yaani usimamizi mzuri wa fedha.

Kuna tatizo gani fedha ya serikali ikizaa faida?
Cha msingi ni faida hiyo irudi kwa mwenye pesa, serikali.

Sasa hili la kuzuia matumizi sahihi ya pesa ili zizaane na kupata faida linanikanganya.

Pengine somo la uchumi nililosoma lina matatizo.
 
Kumbe tupo wengi tunashangaa hizi principal za uchumi za kuweka pesa kabatini.....

Alafu unaenda mtaani kudai kodi ya bilioni 1 wakati unayemdai kodi yeye anakudai bilioni 10 deni la muda mrefu ........

Tena bahati mbaya alikopa bank ili afanye Kazi yako kama kujenga barabarani n.k.....

Only in Tanzania.......
 
Katuni+Sep+25.jpg


huyu jamaa na jopo lake wangetusaidia swala la Uchumi sema nae hajui anapokwenda.


swissme
 
Nimesomea somo la uchumi na kujua fika jinsi ya kuipa thamani pesa.
Pesa inabidi izunguke ili ipate thamani
Pesa ndiyo legal tender ambayo ikibadili mikono tu, inapata faida ukiwekeza vizuri.
Pesa ndio dhamana pekee unayoweka benki na ukadsi riba.

Huwezi kuweka nyumba benki na ukadsi riba, ingawaje tunajua sote nyumba inaweza kuongezeka thamani.
Sasa kitendo cha kutoifanyia biashara ,hasa hizi para governmental bodies , kitendo kinanikanganya.

Kweli kuna vioongozi wengine wanaweka fedha za umma benki na kupata faida ambayo iko nje ya mfumo ya bajeti.

Lakini kimsingi , hiyo ni frugality, yaani usimamizi mzuri wa fedha.

Kuna tatizo gani fedha ya serikali ikizaa faida?
Cha msingi ni faida hiyo irudi kwa mwenye pesa, serikali.

Sasa hili la kuzuia matumizi sahihi ya pesa ili zizaane na kupata faida linanikanganya.

Pengine somo la uchumi nililosoma lina matatizo.
Hiyo elimu yako ya uchumi fanyeni hapo ufipa mjenge hata ofisi basi.
Au huo uchumi wako umfundishe Mbowe jinsi ya kurudisha deni la Nhc ni aibu kwa mchumi kama wewe kushindwa kukipa hayo mawazo chama chako
 
we are moving from world " X" to "Y". Get prepared for transitions.
 
Kumbe tupo wengi tunashangaa hizi principal za uchumi za kuweka pesa kabatini.....

Alafu unaenda mtaani kudai kodi ya bilioni 1 wakati unayemdai kodi yeye anakudai bilioni 10 deni la muda mrefu ........

Tena bahati mbaya alikopa bank ili afanye Kazi yako kama kujenga barabarani n.k.....

Only in Tanzania.......
Nadhani palitakiwa pawepo na utaratibu fulani ambapo hadi na makatibu wakuu wa wizara husika wanahusishwa ili ijulikane hii hela ikakaa kwa muda huu kunafaida kiasi fulani ambapo kitaongezeka kwenye bajeti
 
Je, yawezekana kuwa kuna sheria inayowapa ruhusa ya kuweka pesa za miradi mbali mbali kwenye fixed account? Kama zipo na zinajulikana hakuna shaka mtukufu atakuja kuelewa siku moja!
 
Nimesomea somo la uchumi na kujua fika jinsi ya kuipa thamani pesa.
Pesa inabidi izunguke ili ipate thamani
Pesa ndiyo legal tender ambayo ikibadili mikono tu, inapata faida ukiwekeza vizuri.
Pesa ndio dhamana pekee unayoweka benki na ukadai riba.

Huwezi kuweka nyumba benki na ukadai riba, ingawaje tunajua sote nyumba inaweza kuongezeka thamani.
Sasa kitendo cha kutoifanyia biashara ,hasa hizi para governmental bodies , kitendo kinanikanganya.

Kweli kuna viongozi wengine wanaweka fedha za umma benki na kupata faida ambayo iko nje ya mfumo ya bajeti.

Lakini kimsingi , hiyo ni frugality, yaani usimamizi mzuri wa fedha.

Kuna tatizo gani fedha ya serikali ikizaa faida?
Cha msingi ni faida hiyo irudi kwa mwenye pesa, serikali.

Sasa hili la kuzuia matumizi sahihi ya pesa ili zizaane na kupata faida linanikanganya.

Pengine somo la uchumi nililosoma lina matatizo.

Huna matatizo na somo lako hilo. Tatizo liko katika uelewa mdogo wa MHUSIKA kuhusu masuala ya kiuchumi na jinsi pesa inavyotakiwa kuzunguka.
Rais wetu Magufuli ajaribu sana kuiongoza nchi kama MFANYABIASHARA na wala si kama MSOMI pekee!

WASOMI wengi HAWAJUI business/biashara. Umewahi kusikia
Msomi mkubwa yeyote ama
PhD holder
Ama Profesa aliye mfanya biashara MZURI?
Jibu ni hakuna!!

Hebu jaribu kumkabidhi Profesa biashara yeyote ama kampuni kubwa AISIMAMIE, Jibu ni kuwa hiyo kampuni lazima ITAANGUKA tu!!

Lakini mtu mwenye mawazo na UJUZI wa KIBIASHARA mwenye ELIMU wastani ya usimamizi wa kifedha nk.akuongozee
Kampuni ama shirika utapenda.

Maana anataka kupata faida!
Hivyo tatizo liko katika ufahamu mdogo kuhusu BASICS za kujua Pesa huzunguka namna gani?
 
Hiyo elimu yako ya uchumi fanyeni hapo ufipa mjenge hata ofisi basi.
Au huo uchumi wako umfundishe Mbowe jinsi ya kurudisha deni la Nhc ni aibu kwa mchumi kama wewe kushindwa kukipa hayo mawazo chama chako
Hivi mko watu mnaamini kabisa kila anaekwazika na mauzauza haya ni kutoka mitaa ya ufipa tu? Kama intelejensia yenu inawaambia hivi, mnajidanganya na subirini majibu mtayapata. Maana inaweza kutolewa hoja nzuri badala kuchangia kwa maslahi ya nchi nyie mnaona hoja ya ufipa tu. Hebu mfuatilie mtoa uzi utamjua vizuri.
 
Nimesomea somo la uchumi na kujua fika jinsi ya kuipa thamani pesa.
Pesa inabidi izunguke ili ipate thamani
Pesa ndiyo legal tender ambayo ikibadili mikono tu, inapata faida ukiwekeza vizuri.
Pesa ndio dhamana pekee unayoweka benki na ukadai riba.

Huwezi kuweka nyumba benki na ukadai riba, ingawaje tunajua sote nyumba inaweza kuongezeka thamani.
Sasa kitendo cha kutoifanyia biashara ,hasa hizi para governmental bodies , kitendo kinanikanganya.

Kweli kuna viongozi wengine wanaweka fedha za umma benki na kupata faida ambayo iko nje ya mfumo ya bajeti.

Lakini kimsingi , hiyo ni frugality, yaani usimamizi mzuri wa fedha.

Kuna tatizo gani fedha ya serikali ikizaa faida?
Cha msingi ni faida hiyo irudi kwa mwenye pesa, serikali.

Sasa hili la kuzuia matumizi sahihi ya pesa ili zizaane na kupata faida linanikanganya.

Pengine somo la uchumi nililosoma lina matatizo.
Serikali haifanyi biashara bali inakusanya Kodi na kutoa Huduma kwa Wanainchi.

Wafanyabiashara waendelee kufanya biashara aidha za fedha, bidhaa na Huduma pia kwa faida au kwa kuwekeza ktk firm kubwa za uzalishaji viwandani,mashambani,migodini,majengo n.k

Tumia taaluma yako ya uchumi ktk kusaidia zaidi wanainchi kujua wafanye nini kujiimarisha kiuchumi.
 
Nimesomea somo la uchumi na kujua fika jinsi ya kuipa thamani pesa.
Pesa inabidi izunguke ili ipate thamani
Pesa ndiyo legal tender ambayo ikibadili mikono tu, inapata faida ukiwekeza vizuri.
Pesa ndio dhamana pekee unayoweka benki na ukadai riba.

Huwezi kuweka nyumba benki na ukadai riba, ingawaje tunajua sote nyumba inaweza kuongezeka thamani.
Sasa kitendo cha kutoifanyia biashara ,hasa hizi para governmental bodies , kitendo kinanikanganya.

Kweli kuna viongozi wengine wanaweka fedha za umma benki na kupata faida ambayo iko nje ya mfumo ya bajeti.

Lakini kimsingi , hiyo ni frugality, yaani usimamizi mzuri wa fedha.

Kuna tatizo gani fedha ya serikali ikizaa faida?
Cha msingi ni faida hiyo irudi kwa mwenye pesa, serikali.

Sasa hili la kuzuia matumizi sahihi ya pesa ili zizaane na kupata faida linanikanganya.

Pengine somo la uchumi nililosoma lina matatizo.
tra nani kawatuma kufanya biashara. kazi yao ni kukusanya ushuru na kodi na kumpelekea mwenyewe ie serikali. hela ya serikali ni kwa matumizi umma sio kuwekwa benki na vigogo kuwazalishia faida binsfsi. kwa mfano hela inatoka hazina kwa ajili ya mikopo ya elimu vyuo vikuu. vigogo mamlaka ya mikopo wanaikimbiza fixed deposit wapate riba 15% waweke mfukoni kwao. wanafunzi wanafika vyuoni hela hakuna wanababaishwa. network yote hadi wizarani wanajua dili hilo wanangoja mgao. wanafunzi wanahangaika hadi kugoma. ndio mambo jpm anakomesha.
 
Back
Top Bottom