Somo la hisabati (kwa kweli masomo karibu yote) hayafundishwi vizuri. Kutoka shule ya msingi inajengwa taswira kwamba hisabati ni ngumu sana. Na walimu badala ya kuwaelekeza wanafunzi, wanatumia bakora pale mwanafunzi anaposhindwa.
Somo la hisabati ni mojawapo ya mihimili ya makuzi ya kielimu. Misingi ya mantiki, muhimu katika uwanja wowote wa fikra na taaluma, huanzia katika kujifunza hisabati. Lazima tufanye mabadiliko katika ufundishaji wa somo hili muhimu.
Somo la hisabati ni mojawapo ya mihimili ya makuzi ya kielimu. Misingi ya mantiki, muhimu katika uwanja wowote wa fikra na taaluma, huanzia katika kujifunza hisabati. Lazima tufanye mabadiliko katika ufundishaji wa somo hili muhimu.