Somo la kucheat

Somo la kucheat

Huu uzi ni wa KIPUUZI....
Yaani badala ya kupeana somo tuishi vipi kwenye ndoa zetu tunafundishana kucheat...
Hebu tujifunze kutoka kwa bibi zetu ambao wamedumu na babu zetu hadi leo...sio kama wanaume walikua hawana maudhi that time lahasha walikua nayo mengi pengine kuliko wanaume wa sasa ila walikua wana busara sana na kufanya kila njia kuboresha ndoa zao na kusameheana n.k....


Mie mshamba....

Sijui nitakupataje wewe uwe mke wa pili! Ila mke mkubwa sijui atatoa ruhusa?! Muhusika njoo hapa utoe neno!
 
Moto unapozimwa kwa petrol.........
 
Huu uzi ni wa KIPUUZI....
Yaani badala ya kupeana somo tuishi vipi kwenye ndoa zetu tunafundishana kucheat...
Hebu tujifunze kutoka kwa bibi zetu ambao wamedumu na babu zetu hadi leo...sio kama wanaume walikua hawana maudhi that time lahasha walikua nayo mengi pengine kuliko wanaume wa sasa ila walikua wana busara sana na kufanya kila njia kuboresha ndoa zao na kusameheana n.k....


Mie mshamba....
Hapana we sio mshamba, Bali unaona Kwa usahihi jambo hili, hujavaa miwani kama mleta maada .
kujenga ndoa ni kama kujenga nyumba kwa kufuata mchoro sahihi ulioiweka siku ya kwanza. Ukiona ramani haifai na wakati ndo unamalizia nyumba kupaka ranging....!!! Basi wewe hufai kuwa mjenzi.
ku cheat kama mleta maada alivyopendekeza utasababisha cracks kwenye nyumba yako. Hutajua shida itaanzia wapi!
Huyu jamaa
Kapendekeza Shida tatu tu......!
Lakini
Je habari ya third party (Mtu wa tatu Kuwaona mnayoyafanya?) Hajatuonya....!!!
Je habari ya self consciousness (mtu kujiona matendo yako kwa ndani) jinsi ulivyo na unavyotenda. Hajatuonya....!!!
Je Habari ya self image (utajionaje mbele ya mume wako baada ya ku cheat?)hajatuonya...!!!
hajaongelea habari za accidental penetration......condoms ruptures .....na mengine mengi kuhalalisha cheattig.
Mwenye macho haambiwi tazama....
Huyu mtu anawadanganya bado.JARIBU TENA BAADAYE
 
Huyu niliyenaye akisema tu anaenda kuhalalisha ndoa atanikoma.
Nasubili kuvaa shera baada ya hapo tutapishana guest.
Bye

Heheheheheeeeeeeeeeee........... kizazi cha dot.com! Uwiiii kaka zangu sijui wataoa nani???
 
Sababu ya kupima ni nini kama hakuna sex...

Unanchekesha ujue...

Watu8 usijifanye huelewi we sema umekasirika tu u! Kuplay safe sex ni pamoja na kutumia kinga na kupima! So suala la hatari ya ukimwi linakuwa solved! Issue hapa ni kucheat responsibly! hahahaaa
 
Sasa ikiwa nimeoa na mke akawa na tabia hizi..nitatofautishaje kuwa ndio kaanza kucheat au ndio mwenendo wake?

Ukiwa muaminifu huwezi kupata mke wa aina hii! Wa aina hii ni wa wanaume waasherati tu!
 
1.zidisha upendo kwa mumeo ili asikugundue
2.heshima izidi maradufu kwa mumeo
3.kutaneni sehemu za mbaliiiiii na nyumbani.
,4.tafuta kidumu 40 and above
5..awe ameoa pia ili msianze kugandana na kuharibiana.
6.ikiwezekana tafuta kisafari uongo na kweli mkaenjoy.

ANGALIZO
1.special for married women only
2.kupima kwanza.
3.penetration sex is not necessary.

KAMATA FULSA TWE NZETU.
SIO KUJILIZA KILA SIKU UNAPATA MIPRESSURE MWISHOWE UJE UFE NA KUACHA WANAO NA MAMA WA KAMBO.
ACHA KUSUMBUA WAZAZI NA KUWAPA PRESSIRE NA MIKESI YA USULUHSHI YASIYOISHA.
Hii ndio only dawa ya BROKEN HEART.

KAMA INAKUKERA PITA KIMYA.

Before i forget why am here at the first place, i must says that, this nonsense must be coming from the IQ of a very weak intellect .
 
Yaani kubwa la maadui nimecheeeeeka miye lol! Umepinda best! Kamata fursa twenzetu! Habebi mtu begi kwenda kwao!
 
Duuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!ngoja nijipitie zangu, nisubiri mpaka nitakapokuwa na jiko ndani
 
Huyu niliyenaye akisema tu anaenda kuhalalisha ndoa atanikoma.
Nasubili kuvaa shera baada ya hapo tutapishana guest.
Bye

Kuna watu hawakuumbwa kwa ajiri ya kuoa au kuolewa jamii yetu inalazimisha. What if huyo jamaa yako sio cheater guest mtapishanaje?
 
Watu8 usijifanye huelewi we sema umekasirika tu u! Kuplay safe sex ni pamoja na kutumia kinga na kupima! So suala la hatari ya ukimwi linakuwa solved! Issue hapa ni kucheat responsibly! hahahaaa

Ngoja nawe nikuulize, hivi kama mtu hushiriki naye ngono bali unataka tu kula pesa zake au kujirusha kwa mitoko ambayo sio "love making" related, kwa nini upime ngoma?

Mathalani, marafiki zako wote ambao huwa mnafanya mitoko pamoja ile ya kirafiki huwa wamepima ngoma?

Msome tena vizuri mleta mada...
 
Siku akikufia guest house ndo utalijua jiji tena above 40 nguvu za kiume zimeanza kupungua hapo hujui mpo wangapi,ya nini yote hayo si bora niinjoy na wanangu,na kutafuta faranga tu,nikiwa nawaza faranga saa ngapi nitawaza kidumu?
 
Back
Top Bottom