Somo la kucheat

Somo la kucheat

Huyu niliyenaye akisema tu anaenda kuhalalisha ndoa atanikoma.
Nasubili kuvaa shera baada ya hapo tutapishana guest.
Bye
 
Nyani Ngabu hebu customize this thing tupate na for men.
 
Last edited by a moderator:
1.zidisha upendo kwa mumeo ili asikugundue
2.heshima izidi maradufu kwa mumeo
3.kutaneni sehemu za mbaliiiiii na nyumbani.
,4.tafuta kidumu 40 and above
5..awe ameoa pia ili msianze kugandana na kuharibiana.
6.ikiwezekana tafuta kisafari uongo na kweli mkaenjoy.

ANGALIZO
1.special for married women only
2.kupima kwanza.
3.penetration sex is not necessary.

KAMATA FULSA TWE NZETU.
SIO KUJILIZA KILA SIKU UNAPATA MIPRESSURE MWISHOWE UJE UFE NA KUACHA WANAO NA MAMA WA KAMBO.
ACHA KUSUMBUA WAZAZI NA KUWAPA PRESSIRE NA MIKESI YA USULUHSHI YASIYOISHA.
Hii ndio only dawa ya BROKEN HEART.

KAMA INAKUKERA PITA KIMYA.

Sasa ikiwa nimeoa na mke akawa na tabia hizi..nitatofautishaje kuwa ndio kaanza kucheat au ndio mwenendo wake?
 
Huyu niliyenaye akisema tu anaenda kuhalalisha ndoa atanikoma.
Nasubili kuvaa shera baada ya hapo tutapishana guest.
Bye

Guest kufanya nini dada yangu? Utakutana na za umbo tofauti hujawahi kufikiria kisha utakuwa unaota usiku, nenda movie (siyo home) jisomee vitabu vya hadithi, utakuwa ok! Mwanaume hakomoreki ni sawa na kupiga konzi ncha ya mkuki!

Body without head
 
Hili nalo neno, mpango mzma ni kuchangamkia fursa..... Maana hawa wanaume c wa2 wa mchezo. Geuza changamoto kuwa fursa mdada
 
Huu uzi ni wa KIPUUZI....
Yaani badala ya kupeana somo tuishi vipi kwenye ndoa zetu tunafundishana kucheat...
Hebu tujifunze kutoka kwa bibi zetu ambao wamedumu na babu zetu hadi leo...sio kama wanaume walikua hawana maudhi that time lahasha walikua nayo mengi pengine kuliko wanaume wa sasa ila walikua wana busara sana na kufanya kila njia kuboresha ndoa zao na kusameheana n.k....


Mie mshamba....
 
Kucheat sio solution . Uaminifu ndio mpango mzima, ukiwa na matatizo ya ndoa yako mwelezee baba wa mbinguni kwa imani utapata msaada na shida zako zitakua historia kumbuka kichaa akikimbia na nguo zako solution sio kumfukuza. Ikumbukwe panadol sio tiba bali ni dawa ya kutuliza maumivu wakati huo huo ugonjwa unaendelea kuchukua kasi na iwapo tiba haitapatikana basi mgonjwa aweza poteza maisha.

Nawatia moyo wale wote wanaopata shida kwenye ndoa wafanye maombi ya dhati kwani Mungu anasikia soma Yeremia 33:3 .Je ni jambo gani la kumshinda Mungu dawa ya moto sio moto. Najiuliza mama mwenye ndoa yake kwenda chojoa nguo zake kwa bwana mwingie khaaa hivi huoni hata kinyaa jamani. Mambo yote yanazungumzika kila kunapotokea mushkeli wa mahusiano kaeni chini zungumzeni wekaneni sawa.
 
Huu uzi ni wa KIPUUZI....
Yaani badala ya kupeana somo tuishi vipi kwenye ndoa zetu tunafundishana kucheat...
Hebu tujifunze kutoka kwa bibi zetu ambao wamedumu na babu zetu hadi leo...sio kama wanaume walikua hawana maudhi that time lahasha walikua nayo mengi pengine kuliko wanaume wa sasa ila walikua wana busara sana na kufanya kila njia kuboresha ndoa zao na kusameheana n.k....


Mie mshamba....
Kama kuishi kiaminifu ni ushamba afadhari niwe mshamba mpendwa wangu . Kucheat haingii akilini kabisaaa
 
Kama kuishi kiaminifu ni ushamba afadhari niwe mshamba mpendwa wangu . Kucheat haingii akilini kabisaaa

Weee subiri tu hapa lazima tuonekane tumepitwa na wakati ila mie hata sijali...
Watu wanacheat kwa kutizama tu mapungufu ya wenzi wao ila hawatizami mazuri yao pengine ni mengi kuliko kero...
 
Weee subiri tu hapa lazima tuonekane tumepitwa na wakati ila mie hata sijali...
Watu wanacheat kwa kutizama tu mapungufu ya wenzi wao ila hawatizami mazuri yao pengine ni mengi kuliko kero...
Shida kubwa ya matatizo yaliyomo kwenye ndoa mengi yanasababishwa na lack of communication. Halafu kama mtu anamwamini Mungu kwanini usijaribu njia ya maombi mbona nayo ina majibu mazuri tu. Kuzini ni kujivunjia heshima tu kama naona mambo hayaendi bora kutengana kuliko njia ya cheating.

Uthamani wa mtu uko kwenye kujitunza na si kuupeleka mwili huko kwa maharamia wa mapenzi na waliokubuhu kukutana na kila dizaini ya mwanamke na bado hawatosheki. Hizi raha za sekunde tano ndio zikufanye uuuze utu wako khaaa.

Solution ya mambo yote ni mazungumzo naamini muafaka lazima utapatikana tu. Kama ulivyosema hebu tujaribu kujichunguza na sisi je ni wapi tunakosea. Pengine kelele zimezidi au umwamba umeongezeka nyumbani so mtu anaona kero hata kurudi home.
 
kusali mtu unasali my dear,lakini sm pains ar way too much to handle,

kama unaargue ki bf bf fine, lakin kindoa ndoa nadhan sala ndio suluhu! sidhan kama kuna njia yoyote mbadala zaid ya hii.
 
Back
Top Bottom