Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

mi sijui niseme vp...ila nakubali kwamba kitunguu saumu ni dawa moja nzuri sana...ila mimi nina situation hua inanishangaza sana:-

Nikitafuna vitunguu saumu (maybe vipande viwili adi vitatu) na papo hapo nikaenda kufanya mazoezi kama kawaida yangu hua sitokwi sana jasho tofauti na nikienda fanya mazoezi bila ya kutafuna hua natokwa sana jasho...

Kila nikiwaza hua inanishangaza sana najiuliza ni mimi tu / inawakuta na watu wengine na sjaeza kufatilia zaid ni kipi hasa / mwil hua unaingia kwnye situation gan ad inakua hvo..?
labda apa naeza pata mtazamo kutoka kwa wajuzi wengine...
 
mi sijui niseme vp...ila nakubali kwamba kitunguu saumu ni dawa moja nzuri sana...ila mimi nina situation hua inanishangaza sana:-

Nikitafuna vitunguu saumu (maybe vipande viwili adi vitatu) na papo hapo nikaenda kufanya mazoezi kama kawaida yangu hua sitokwi sana jasho tofauti na nikienda fanya mazoezi bila ya kutafuna hua natokwa sana jasho...

Kila nikiwaza hua inanishangaza sana najiuliza ni mimi tu / inawakuta na watu wengine na sjaeza kufatilia zaid ni kipi hasa / mwil hua unaingia kwnye situation gan ad inakua hvo..?
labda apa naeza pata mtazamo kutoka kwa wajuzi wengine...
Kinasaidia absorption ya maji mwilini
 
mi sijui niseme vp...ila nakubali kwamba kitunguu saumu ni dawa moja nzuri sana...ila mimi nina situation hua inanishangaza sana:-

Nikitafuna vitunguu saumu (maybe vipande viwili adi vitatu) na papo hapo nikaenda kufanya mazoezi kama kawaida yangu hua sitokwi sana jasho tofauti na nikienda fanya mazoezi bila ya kutafuna hua natokwa sana jasho...

Kila nikiwaza hua inanishangaza sana najiuliza ni mimi tu / inawakuta na watu wengine na sjaeza kufatilia zaid ni kipi hasa / mwil hua unaingia kwnye situation gan ad inakua hvo..?
labda apa naeza pata mtazamo kutoka kwa wajuzi wengine...
Kinasaidia absorption ya maji mwilini
 
Pole hiyo nyumba yenu ni lango la shetan naamisha kuna zindiko mliweka la Uganga kulinda nyumba dhidi ya wachawi

Mganga mkuu wa mapepo ni Yesu uamin usiamin Mungu tu hata mimi nahaha na mdogo wangu hapa Vita kunasiku utakubaliana nami
Mmh wewe umejuaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom