Mshana ndugu yangu mi kibarua changu ni kusafirisafiri je nikichukua vitunguu swaumu vikubwa kama vitano vikamenywa na kutwangwa,kisha nikachanganya na asali kama vikombe viwili vya chai na ndimu kama tano,alafu nikachukua mchanganyiko huo nikaweka kwenye chupa ili nikisafiri niwe nachukua kiasi nakunywa kwa maji ya moto je kuna ubaya au nisawa tu?