Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
- Thread starter
- #241
Mungu wangu duu.ila naona kama umechanganya dozi nyingi sana kuna tatizo kubwa zaidi linalohitaji umakini zaidindugu mimi nateseka sana na hivyo vitu, nimeshasali sana, nimelala na Bible, nimelala huku naskiliza Qur'an, nimelala na mfupa wa nguruwe, nimelala na vitunguu(atleast kinamsaada japo hakijamaliza tatizo),nimelala na masizi, nimesomewa Albadill, hadi nimeenda mara mbili kwa waganga lakini waaapi bado ni mandoto mabaya na kuona maluweluwe usiku, skuizi hata silali mpaka kichwa kinauma, hebu nishauri,.