Somo kwa "wadangaji"

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,268
Msome vizuri danga ni mtu wa aina gani. Kama ni mfanya biashara, mwalimu, au fundi bomba basi tumia kifurushi chako ingia Wikipedia usome uelewe dunia ya danga ili mpate cha kuongea.

Usianze kumwaga shida kwa danga mpaka umuone amekolea na bila kukuona siku yake haiendi.

Kuwa wa kileo, nenda na trend za mjini. Angalia pia watu anao hang nao our. Ukianza kuvaa jeans mpasuko kwa danga la heshima utaharibu.

Wewe si mke, kamwe usiulize kwanini amechelewa au kwanini anaharaka, kumbuka kuwa wewe ni mjasirimali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom