Somo kwa Vyama Pinzani

Kapugi

New Member
Dec 12, 2018
4
2
Nadhani kuna haja ya vyama pinzani kujifunza sana kutokaa kwa chama tawalaa ili wawe na mafanikio makubwa mbeleni.

Mfano, nimekutana na wamama wa hali ya chini kabisa wanakimbia wakiwahi mkutano wa chama huku wameshika bendera, nadhani achilia mbali msukumo wanaoupataa kutokaa kwa viongoz wao.

Nadhani wana mapenzi na chama chao. Nadhani ni bora kuachana na watu hawa wanao tumia smartphone, halafu wanatudanganyaa ni wanachama kindakindaki, matokeo yakee ikifikaa wakati wa mikutano ya chamaa hawaendi kusikilizaa viongozi wao, wanakaa masebuleni kwao nakuanzaa kuangalia picha za mkutano mtandaoni.

Hiyo huwa inaendaa mpaka kipindi cha uchaguzi. Nadhani ni boraa kuanzia kwenye shinaa. Tujenge mifumo ya kuwafikia watu wa hali ya chini kabisaa, na hii inawezekana kwa viongozi kuanzaa kutengenezaa mtandao mrefu na unaoaminika kwa watu mpaka kwa mabalozi wa nyumba kumi.
 
nadhani kunahaja ya vyama pinzani, kujifunzaa saana kutokaa kwa chama tawalaa,, ili wawe na mafanikio makubwa mbeleni, mfano!! Nimekutana na wamama wa hari ya chini kabisaa wanakimbiaaa wakiwahi mkutano wa chamaa, huku wameshikaa benderaa, nadhani achiliaa mbali msukumo wanao upataa kutokaa kwa viongoz wao!! Nadhan wanamapenzi na chama Chao. Nadhan niboraa kuachanaa na watu hawaa wanao tumiaa smartphone,, halafu wanatudanganyaa niwanachamaa kindakindaki, matokeo yakee ikifikaa wakati wa mikutano ya chamaa hawaend kusikilizaa viongozi wao,, wanakaa masebuleni kwao nakuanzaa kuangariaa pichaa za mkutano mtandaoni,, hiyo huwaa inaendaa mpakaa kipindi cha uchaguzi,. Nadhani ni boraa kuanziaa kwenye shinaa!! Tujengee mifumo ya kuwafikiaa watu wa hali ya chini kabisaa,, na hii inawezekanaa kwa viongozi kuanzaa kutengenezaa mtandao mrefuu na unaoaminikaa kwa watu,, mpakaa Kwa mabalozi wa nyumbaa kumi.
Huko chama Tawala kuna wanachama au watu wanao fisidi nchi? Hakuna Mwanachama wa maana ukitoa wale masikini choka mbaya wanao hongwa sujar, chumvi wakati wa uchaguzi.
 
nadhani kunahaja ya vyama pinzani, kujifunzaa saana kutokaa kwa chama tawalaa,, ili wawe na mafanikio makubwa mbeleni, mfano!! Nimekutana na wamama wa hari ya chini kabisaa wanakimbiaaa wakiwahi mkutano wa chamaa, huku wameshikaa benderaa, nadhani achiliaa mbali msukumo wanao upataa kutokaa kwa viongoz wao!! Nadhan wanamapenzi na chama Chao. Nadhan niboraa kuachanaa na watu hawaa wanao tumiaa smartphone,, halafu wanatudanganyaa niwanachamaa kindakindaki, matokeo yakee ikifikaa wakati wa mikutano ya chamaa hawaend kusikilizaa viongozi wao,, wanakaa masebuleni kwao nakuanzaa kuangariaa pichaa za mkutano mtandaoni,, hiyo huwaa inaendaa mpakaa kipindi cha uchaguzi,. Nadhani ni boraa kuanziaa kwenye shinaa!! Tujengee mifumo ya kuwafikiaa watu wa hali ya chini kabisaa,, na hii inawezekanaa kwa viongozi kuanzaa kutengenezaa mtandao mrefuu na unaoaminikaa kwa watu,, mpakaa Kwa mabalozi wa nyumbaa kumi.
wakati CDM wanafikia upeo miaka ya DR Slaa waliwafikia watu wa chini kabisa Magufuli akaja kuwanyanganya na sasa Makonde anapita humohumo wao chadema wamejikita kwenye white colars mno hapo wanapaswa warudi kwenye misingi ya nguvu ya umma.
 
Huko chama Tawala kuna wanachama au watu wanao fisidi nchi? Hakuna Mwanachama wa maana ukitoa wale masikini choka mbaya wanao hongwa sujar, chumvi wakati wa uchaguzi.
Lakin hao ndio wapiga kuraa,,
 
Back
Top Bottom