Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,239
Viongozi wetu kuna somo kubwa sna wanatakiwa kusoma kupitia kifo cha Bush mkubwa mie binafsi kifo hiki kimenirudisha mpk tarehe 7 mwenzi 4 mwaka 1972 Zanzibar japo Sababu za kifo zipo tofauti lkn matokeo yote ni Sawa nmejaribu kucheck marekani kwenyewe wazazi wengi waliopoteza watt wao kwenye vita ya Iraq wakifurahia kifo hiki uko Iraq kwenye ndio usiseme leo kwao imekuwa km sikukuu ya Iddy hiyo furaha yke mtaani sio jambo dogo binadam kufurahi kifo cha Binadam mwenzie aliyakuwa anajua na yy ipo siku atafariki mwisho kbs naomba niweke maneno ya muandishi Ahmed Rajab...
Magharibi ya Aprili 7, 1972 ilipothibitika kwamba Sheikh Karume aliuawa, kuna bibi mmoja kizee aliyetoka nje ya nyumba bila ya kujistiri sawasawa. Alikuwa akirukaruka nje akishangilia mauaji ya Karume. Bibi huyo akiitwa Mashavu binti Hassan. Alikuwa mamake Hanga.
Magharibi ya Aprili 7, 1972 ilipothibitika kwamba Sheikh Karume aliuawa, kuna bibi mmoja kizee aliyetoka nje ya nyumba bila ya kujistiri sawasawa. Alikuwa akirukaruka nje akishangilia mauaji ya Karume. Bibi huyo akiitwa Mashavu binti Hassan. Alikuwa mamake Hanga.