Sometimes love...

ukiona mwanaume ana nguvu za kuomba pesa mwanamke jua hakupendi.speaking from experience just let go of him....muache aende..
 
Mkeka gani mkuu
Mkeka (penzi) tayari limekufa. Nashangaa huyo jamaa mambo yote yasiyostahili kufanyiwa mtu mwenye mapenzi ya dhati, yeye alikufanyia na bado mkaendelea kuwa pamoja. Aisee kuna watu mna mioyo migumu, uliona wapi Mwanaume akanuna? Hiyo ilikuwa sababu tosha ya kumjua huyo kimeo, kwa nini uteseke Wanaume wa kweli tupo... Karibu PM tuongee mambo mawili, matatu.
 
Pole Sana kadogoo
 
asante mkuu
 
Reactions: K M
Nikimpata mwanamke Mwenye mtazamo Kama wako mbona ntajidai apa duniani
 
Unakosea mkuu, kila mmoja anastahili upendo, heshima n.k unapoingia kwa ajili ya gaida zako mwisho wa siku unamuumiza mwenzako aliyetayar kukupenda na kujitoa kwa ajili yako

Usichanganye uoendo na matamanio....wengi wapo katika kutamani wagegede wasepe zao.
 
Love for you own risk,,yaani unapopenda usifosi mtu uliyempenda awe kama utakavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…