Sometimes love...

KadogooCate

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2017
Posts
484
Reaction score
1,100
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.

Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....

If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....

Nimevurugwaa!
 
Tunaendana kabisa... Sipo tayari kumuumiza mtu... Labda utake mwenyewe kuumizwa
 
Pole sana
Njoo nikupe tulizo la moyo, wala usicomplicate sana maisha
 
Inakeraga hiyo kujifikiria mwenyewe tu, yani kila kitu unajiweka wewe tu hauwazi wengine, huwazi shida wanazopitia ilmradi we uko good....mxyuuuuu
Kweli kabisa, mtu anajiona yeye tu ndo anapata shida, yeye tu ndo asaidiwe kila siku, yeye tu ndo ajaliwe na kupendwa, kweli? Ubinafsi wa hali ya juu
 
There's no relationship without personal benefits
Unakosea mkuu, kila mmoja anastahili upendo, heshima n.k unapoingia kwa ajili ya gaida zako mwisho wa siku unamuumiza mwenzako aliyetayar kukupenda na kujitoa kwa ajili yako
 
Ubinafsi n mbaya sana kwenye mapenz, unakuta mtu anajiwazia yeye tu akifurahi yeye inatosha, inafika mahali hadi maana ya mapenz inapotea kabisa mtu anajisahau ajali uwepo wako kwenye uhusiano, anasahau kuwa mahusiano n ya wawili matokeo yake n maumiv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…