mimi naona kumiuta nyerere baba wa taifa bado haitoshi nadhan tumtaftie jina special sana huyu mmtakatifu maana yeye ni kati ya wale walioshuhswa toka kwa bwana kutukomboa tanzania lakini baada ya bwana kumuita , mafisadi wakageuka, hii na mfano kama alivyoshushwa yesu kristo atukomboe lakini baada ya kupaa maovu yakashika hatamu. mungu ibariki tanzania , mungu ibariki africa na mungu ilaze mahali pema peponi roho ya mtumish wako nyerere julius . amiiin
Hapana, jina zuri tulilowapa ni "WAJASILIAMALI"
Heka 100, ohoo najianda kustaafu....!?
Na sisi tunakenua meno tu, (freedom to own property, mzungu kasema, nasi ndioooooo!) tutanunua hadi sehemu ya kuzikwa kutoka kwao! Lakini....
Mungu wetu anaita!
duh huyu mzee ni noma.... Leo hii angekua hai ninaamini angesupport CDM...sidhani kama angevumilia kuona uchafu unaofanyika ccm sasa hivi....RIP TEACHER!!
Tofauti kubwa ya Nyerere na viongozi wa leo ni kwamba Nyerere alikuwa "visionary leader", kwamba aliweza kufanya uamuzi si tu kwa kuangalia maslahi ya taifa ya leo bali pia ya baadaye sana. Japo mara nyingine mambo hayakufanikiwa lakini siku zote alichofanya kilikuwa na mantiki sana. Alitaka Tanzania ije kuwa na "industry based economy" kwa kuwa na viwanda vya msingi na hivyo kujenga uwezo wa kuwa net exporter.
Leo viongozi wanashindwa hata kufanya uamuzi kwa vision ya mwaka mmoja tu - wanauza nyumba za serikali bila kuangalia mawaziri wajao watakaa wapi; wanasign mikataba ya kuzalisha umeme bila kuangalia deni litalipwaje; wanakopa hela bila kuangalia uwezo wa ku-service hilo deni, wanakodisha ndege bila kuangalia lini inatakiwa ifanyiwe maintanance kubwa, nk.
Yaani tuna typical viongozi wenye philosophy ya "mlaji ni mla leo, mla kesho atajiju".
Mtanzania wa Kwanza kwa mawazo safi na moyo safi; Wa pili ni Dr. Slaa tusisubiri afe tuanze quotations and vitu vya aina hiyo. Pigania haki mungu atakulinda, acha woga.
Hawa wakoloni wa kiafrika ni wa kunyonga mpaka kufa, yale ya Zimbabwe ndiyo haya lazima tuwe watwana, Rotiana project wanajifanya ni NGO ya kusaidia wamasai huko Naberera, ni project ya miaka 1000 ijayo wazungu watakuwa wameshajikatia ardhi yote ya Tz
These are obvious logical and common sensical words...wala hayahitaji mtu kufikiria mara mbili...tofauti ya ukweli huu ni kuwa watawala wetu wanaujua huu ukweli, ila mioyo ya kuuteleza hawanayo asilani...kibaya zaidi hawafikirii kuwa kwa uuzwaji huu wa nchi, hata vizazi vyao vitaathirika tena zaidi kuliko wategemeavyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.