Ninavyojua mimi ni kwamba ndege za Marekani zimemuaa Godane kiongozi wa kikundi cha Waislam kiitwachwacho Al shaabab. Hizo propaganda zenu zi vijiweni siziangalii
Macho unayo lakini hakuna anaekulazimisha kuziba macho yako au kuyaacha wazi yaone.
Mimi si mtengeneza filamu, nimekuekea links tu za watu wanaofatilia nyendo chafu za nchi mbali mbali katika historia.
Hutaki unaacha.