wamarekani wana mzuka wa ugomvi,pili wanapenda kufanya matukio ya kuwa hero,kwakuwa watu wengi walikamatwa na pesa ikalipwa,hapo wao watataka kuonyesha kwamba wao hela hawana ila ubavu wanao.ingekuwa wamepandisha nae adundani kwao ningesema pana majadiliano lakini wako ndani ya boat iliyoishiwa mafuta tena mbele ya meli ya kivita ambayo inazana zote,hapo wasomali wanatafuta njia ya kuwaambia jamaa zao jinsi ya kulea watoto wao,maana hapo kutoka tena hakuna,na huyo bw barrack kashaonekana ykhe yakhe sasa nae atataka kuonesha si mdebwedo ni ngangari.duuu masikini mogadishu kuna msbamziiito vijana wanne watakufa punde,kalu ina lilah wainailaih rajiun,