Soma Post Graduate Diploma online

Soma Post Graduate Diploma online

Wakuu kuna jambo na hitaji kujua Kuhusu business administration evening class upoje Yani Ada, na muda wa kuanza na kumaliza vipindi nimeangalia prospectus na guide book haija elezwa chuo kikuu cha dar es salaam
 
msumeno. Nilikuwa natafuta saana vitu kama hivi bahati nimeona. Ila kwenye link naona inasumbua. Nilitaka niku-pm, nikupe namba yangu ya simu bado kifaa changu kinanisumbua. Please please naomba uni-pm unipe namba yako ya simu tafadhali.
wakuu kitufe sikioni hapa ila kama mnaweza ni PM mnitumie email zenu niwatumie moja kwa moja data zote
Please, katika hali isio ya kawaida sehemu ya kuku-pm siipati katika kisimu changu cha nokia. Nakuomba ni-PM wewe itaniwia rahisi nikupe contact zangu. USINIPUUZE TAFADHALI.
 
msumeno. Nilikuwa natafuta saana vitu kama hivi bahati nimeona. Ila kwenye link naona inasumbua. Nilitaka niku-pm, nikupe namba yangu ya simu bado kifaa changu kinanisumbua. Please please naomba uni-pm unipe namba yako ya simu tafadhali.
wakuu kitufe sikioni hapa ila kama mnaweza ni PM mnitumie email zenu niwatumie moja kwa moja data zote
Please, katika hali isio ya kawaida sehemu ya kuku-pm siipati katika kisimu changu cha nokia. Nakuomba ni-PM wewe itaniwia rahisi nikupe contact zangu. USINIPUUZE TAFADHALI.
 
Vipi za kilimo ndugu yangu online courses chuo gani kinatoa ,level ya kuanzia degree na kuendelea ila kiwe kinajulikana
 
Hiv hamna online courses za i.t au business znazotambulika hapa Tz?
 
Ukiwa na Ordinary Diploma (NACTE) na ufaulu wa GPA 3 unaweza kufikiriwa kudahiliwa/kusajiliwa Degree ya Kwanza. Kwa wale wenye Advanced diploma ndiyo walikuwa wanadahiliwa/wanasajiliwa post graduate (diploma au degree) lakini nafikiri serikali ilisimamisha hii diploma Huyo mwenye GPA ya 2.7 kama ni ordinary diploma kwa vigezo vipya hata degree ya kwanza hatadahiliwa. PostGraduate Diploma/degree unahitaji (Tanzania) degree ya kwanza au advanced diploma 9ingawa sijui ufaulu wanaotaka).


mkuu nitumie email yako nikutumie details , hizi ni international courses
 
mkuu nitumie email yako nikutumie details , hizi ni international courses
Mkuu nilikuwa na jibu comment ya mkuu mmoja hapa. Hizo course unazozungumzia nimeziona nakuzielewa. Ahsante.
 
Muhimu ni PM email zenu niwatumie info zote hata kama unahitaji zile za humanitarian special courses za certificates
 
I have receive some more, CILT Accredited Certificate Courses - Procurement & Supply Chain Management (Global Health) unachotakiwa ni kuni PM tu nikutumie details zote
 
Back
Top Bottom