Nimejaribu kuleta huo mjadala kwa kuwa kuna jirani rafiki yangu,wameuza nyumba yao,marehemu baba yao aliwaachia nyumba kama 7 hapa bandari ya salama,sasa mgao umepita kalamba jiwe 7 (yaani milioni saba) sasa watu wanampa ushauri mbalimbali,
wengine wanamwambia mkeo hazimuhusu hizo ni zenu fanyia unavyotaka
wengine wanamwambia kapange na mkeo nini cha kufanya,
wengine wanamwambia,kama angekua mkeo amepata za upande wa kwao ungesikia stori tu
jamaa hajui aamue nini..