BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,485
- 5,672
Salaam kwa wanabodi,
hivi ikitokea wewe mke au mume kwenu yaani kwenye familia yenu mmeuza nyumba au shamba au kuna mgao fulani wa fedha umepata,may be milioni 5 au kumi au kias chochote kingi.
Je utamshirikisha mume/mkeo kwenye matumizi ya zile pesa zako au utapanga matumizi jinsi unavyojua wewe?
Na mwenza wako atakua na hako yoyote hapo?
Wenye maarifa zaidi watufahamishe.
Faiza foxy mama wa jf,mchango wako unahitajika hapa.
hivi ikitokea wewe mke au mume kwenu yaani kwenye familia yenu mmeuza nyumba au shamba au kuna mgao fulani wa fedha umepata,may be milioni 5 au kumi au kias chochote kingi.
Je utamshirikisha mume/mkeo kwenye matumizi ya zile pesa zako au utapanga matumizi jinsi unavyojua wewe?
Na mwenza wako atakua na hako yoyote hapo?
Wenye maarifa zaidi watufahamishe.
Faiza foxy mama wa jf,mchango wako unahitajika hapa.