C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
juzi nikiwa katika restaurant moja kati kati ya jiji walikuja wadada wawili wakaanza kuongea kuhusu mitandao ya simu
sasa katika kuongea yule dada akaanza kulalamika anamsimulia mwenzake kuhusu mkasa wa kampuni moja ya simu ambayo wao wanadai ndio ina wateja wengi tanzania hii
akawa anasema alikuwa ana matatizo katika mtandao wake wa blackberry messenger hivyo basi akapiga customer care kuuliza kuwa kwanini hapati huduma hiyo ilhali amekwisha recharge?
Jibu alilopea dada yule na yule dada a customer care ilinifanya mie mwenyewe niliyekuwa nakunywa juice kidogo inipalie kwa jibu ambalo yule dada amepewa
huwezi amini yule customer care alimwambia yule dada kuwa simu yake imeoza kwa kweli nilikuwa kama lowassa yaani nilihuzunishwa sana , sikitishwa sana na fedheheshwa sana
sasa nikajiuliza kama yule dada kajibiwa vile basi si ajabu yule customer care ndio tabia yake na sio yeye tu ma customer care wengi ndio tabia yao ya majibu ya ovyo
nikasema huu mjadala nije niwape wadau najua wadau mtakuwa mmekutana na majibu ya ajabu ila mmeamua kukaa kimya
hivyo basi kama ume experience chochote kuhusu hawa customer care katika shughuli zako za kila siku hebu share na sisi na najua wenye makampuni wapo hapa na wanaona hivyo basi wakiona malalamiko ya wateja wao watajua kuwa wameajiri watu wa aina gani
nawasilisha
sasa katika kuongea yule dada akaanza kulalamika anamsimulia mwenzake kuhusu mkasa wa kampuni moja ya simu ambayo wao wanadai ndio ina wateja wengi tanzania hii
akawa anasema alikuwa ana matatizo katika mtandao wake wa blackberry messenger hivyo basi akapiga customer care kuuliza kuwa kwanini hapati huduma hiyo ilhali amekwisha recharge?
Jibu alilopea dada yule na yule dada a customer care ilinifanya mie mwenyewe niliyekuwa nakunywa juice kidogo inipalie kwa jibu ambalo yule dada amepewa
huwezi amini yule customer care alimwambia yule dada kuwa simu yake imeoza kwa kweli nilikuwa kama lowassa yaani nilihuzunishwa sana , sikitishwa sana na fedheheshwa sana
sasa nikajiuliza kama yule dada kajibiwa vile basi si ajabu yule customer care ndio tabia yake na sio yeye tu ma customer care wengi ndio tabia yao ya majibu ya ovyo
nikasema huu mjadala nije niwape wadau najua wadau mtakuwa mmekutana na majibu ya ajabu ila mmeamua kukaa kimya
hivyo basi kama ume experience chochote kuhusu hawa customer care katika shughuli zako za kila siku hebu share na sisi na najua wenye makampuni wapo hapa na wanaona hivyo basi wakiona malalamiko ya wateja wao watajua kuwa wameajiri watu wa aina gani
nawasilisha