TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
ngoja malawyer wa jf waje
mr rock
nn na wengineo mipilot siwezi ongea hapa
ngoja malawyer wa jf waje
mr rock
nn na wengineo mipilot siwezi ongea hapa
acha tu ndugu nipo india hapaduh! Afadhali hata nimeona post yako. Ulinitisha sana na ile habari yako ya jana ya kunywa sumu bahati mbaya. Pole sana
uyu hakimu naona kichaa anamrudisha mke wa mtu kwa baba ake dah
wape somo kaka mimi shahidi no mojaHakuna maamuzi ya aina hii ya kesi za ndoa
Kuna procedure zake na namna ya kufikia au kutoa hukumu kuwa mume na mke waachane
Hakuna sehem katika sheria ya ndoa waliposema kuwa mke arudi kwa baba yake mpaka maamuzi mengine yafikiwe
Ina maana hapo hakimu amewatenganisha hata kabla ya kusikiliza shauri lao
Kuna mabaraza ya kata na viongozi wa dini na washenga ambako kote huko wanatakiwa watoe maamuzi tena kwa maandishi kuwa wameshindwa kusuluihisha ndoa hiyo na ndipo shauri linapelekwa mahakamani.
Mahakama itasikiliza pande zote mbili pia na kuona kama kuna haja ya kuvunja ndoa husika
Na sababu za ndoa hiyo kuvunjika lazima zielezwe wazi kama adultery, vipigo, kushindwa kwa mwanaume kuconsume the marriage, kichaa may be mwanaume amekuwa kichaa au kifungo cha zaidi ya miaka mitano, na makosa mengine ambayo mahakama itaona kuwa hiyo ndoa imeshindikana beyond repair
Huko vijijini kuna mambo si haba, mwenyekiti wa kijiji tu anaweza kukusumbua mpaka ukahama kijiji!! Sasas uliza kosa ni nini, haumnunulii kimpumu!!!!
Hakuna maamuzi ya aina hii ya kesi za ndoa
Kuna procedure zake na namna ya kufikia au kutoa hukumu kuwa mume na mke waachane
Hakuna sehem katika sheria ya ndoa waliposema kuwa mke arudi kwa baba yake mpaka maamuzi mengine yafikiwe
Ina maana hapo hakimu amewatenganisha hata kabla ya kusikiliza shauri lao
Kuna mabaraza ya kata na viongozi wa dini na washenga ambako kote huko wanatakiwa watoe maamuzi tena kwa maandishi kuwa wameshindwa kusuluihisha ndoa hiyo na ndipo shauri linapelekwa mahakamani.
Mahakama itasikiliza pande zote mbili pia na kuona kama kuna haja ya kuvunja ndoa husika
Na sababu za ndoa hiyo kuvunjika lazima zielezwe wazi kama adultery, vipigo, kushindwa kwa mwanaume kuconsume the marriage, kichaa may be mwanaume amekuwa kichaa au kifungo cha zaidi ya miaka mitano, na makosa mengine ambayo mahakama itaona kuwa hiyo ndoa imeshindikana beyond repair
ngoja malawyer wa jf waje
mr rock
nn na wengineo mipilot siwezi ongea hapa
Hawa ndo mahakimu wetu hawa tayari kesha jiamlia hapo na mhuri kagonga data kama hizi inabidi kupeleka kwa Jaji mkuu aone watoa haki wa chini wanavyo haribu sifa za mahakama nchini.
Sometime inabidi mahakimu waone hata aibu
Maana hukumu kama hii au barua kama hii kutolewa na hakimu inatia shaka uelewa wake wa sheria ya ndoa
Maana ni kama maamuzi ya mwenyekiti wa kijiji au mtendaji wa kijiji na sio hakimu
Anaelewa procedure za kesi za ndoa na sio maamuzi ya kitashi yaani the way yeye anaona inafaa ila je sheria inasemaje swala la ndoa linapoletwa mezani kwake
Je anatakiwa afanye nini
we don't have those facts of the case. Unajuaje amewatenganisha, vipi kama hawakuwahi kuishi pamoja? Na unajuaje shauri halijawahi kusikilizwa? Unajuaje hawajapita kwenye mabaraza ya kata na dini? Unajuaje wanandoa wana dini? Vipi kama kesi hii ni dispute on whether there was valid marriage to begin with, yani hatujafika huko kwenye kusulisha, kesi inaweza kuwa ni je, kulikuwa na ndoa? Unajuaje kesi hii ni kuhusu divorce, vipi kama wote wanapendana ila baba ame file petition kudai deni alilopunjwa kwenye bei ya bi harusi, bride price?Ina maana hapo hakimu amewatenganisha hata kabla ya kusikiliza shauri lao