Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.
Maana yake una siku mbili za ziada za Walevi kukesha baa..! Ukijumlisha na Nane-Nane maana yake kuna jumla ya siku 11 (kati ya 31) za kukesha baa...! Too bad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.