Soma hii muhimu sana

Soma hii muhimu sana

dah mkuu tunafanyeje sasa

Hili tatzo
Mi nishajizoea japo sijawah litafutia ufumbuzi, but niliambiwa nipunguze matumiz ya chai afadhali caffein ya kahawa kuliko majani ya chai na nahisi ndo iliniharibu kwa kiasi kikubwa

Saivi chai yangu ni only ginger yani maji ya moto plus tangawizi nying without sugar au pure ginger mix with pure coffee no sugar no majani

Hata wanangu nahisi hi hali niwaepushie wasiguse majani ya chai
Nikotin itawaadict kama mimi
 
Mi nishajizoea japo sijawah litafutia ufumbuzi, but niliambiwa nipunguze matumiz ya chai afadhali caffein ya kahawa kuliko majani ya chai na nahisi ndo iliniharibu kwa kiasi kikubwa

Saivi chai yangu ni only ginger yani maji ya moto plus tangawizi nying without sugar au pure ginger mix with pure coffee no sugar no majani

Hata wanangu nahisi hi hali niwaepushie wasiguse majani ya chai
Nikotin itawaadict kama mimi
Ngoja nijaribu
 
Mimi ikifika mida ya saa 5 asubuhi mpaka saa 7 ya mchana huwa napata tabu sana! Tangu nipo kidato cha 2 mpaka utuuzima huu. Ikifika hiyo mida nikiwa ofisini huwa naweka earphones masikioni nafungulia kitu chenye kelele ili nisilale.

Nikiwa home huwa naangusha tu.
 
Mimi ikifika mida ya saa 5 asubuhi mpaka saa 7 ya mchana huwa napata tabu sana! Tangu nipo kidato cha 2 mpaka utuuzima huu. Ikifika hiyo mida nikiwa ofisini huwa naweka earphones masikioni nafungulia kitu chenye kelele ili nisilale.

Nikiwa home huwa naangusha tu.
Teh aisee

Pole sana mkuu
 
Mimi ikifika mida ya saa 5 asubuhi mpaka saa 7 ya mchana huwa napata tabu sana! Tangu nipo kidato cha 2 mpaka utuuzima huu. Ikifika hiyo mida nikiwa ofisini huwa naweka earphones masikioni nafungulia kitu chenye kelele ili nisilale.

Nikiwa home huwa naangusha tu.
Yaan pole mno
 
Muhimu ni kuwaona wataalamu wa haya masuala tuone watatusaidiaje.

Kuna wengine wakaniambia ni chai. Lakini mpaka mwezi wa Ramadhani nipo kwenye swaumu naangusha tu.
Tufanyeje sasa mkuu
 
Aaah mi mwenyewe nlisnzia sana wakati wa kuandka hii thread

Tena hivi nipo likizo yaan aisee
Unasinzia huku unaandika halafu unaandika unayoota kwa formula za Nikola Tesla ambazo hazijaeleweka bado.

Tuonee huruma waja wa dunia hii.
 
Unasinzia huku unaandika halafu unaandika unayoota kwa formula za Nikola Tesla ambazo hazijaeleweka bado.

Tuonee huruma waja wa dunia hii.
Tesla mzee wa magnetic flux

Nataman niwe kama huyu jamaa sema nasinzia sana ani
 
Wwewe unaweza kuwa umeumwa na mbung'o fulani hivi.

🙂
Teh ...

Hpn mkuu muda si mrefu utasikia maajabu yangu kama huyu jamaa

Kuna muda huwa napotea humu hata miezi mitatu

Huko nakokua silali , nikilala sana ni masaa matatu au manne hapo ni sana ...
 
Back
Top Bottom