Kwenye kulala we ni mimi kabisa kipndi nipo skuli hadi chuo hakuna asie nijua kwa kulala, yani ukitaja jina langu hakuna asie nikumbuka kama amesahau bs ongeza na sifa yangu ha kulala class
Mi nilikua nalala class hasa ticha akiwa anafundisha ndo nalal tena nasjisikia kuchoka sana ila akitoka tu mi usingiz sina binafsi nilikua napenda kelele kuliko utulivu hadi saivi
Nikiwa sehemu imetulia nitalala kwanza sipend kukaa sehemu tulivu
Ila nikiwa na mawazo nitapenda kuwa alone tena maeneo yenye pori au nyikani huwa najisikia kupona mawazo yote
Nilikua napitilizwa kituo kama nipo peke angu alaf nashtuka punde tu gari linapoelekea kituo kingine
sijawahi kufel kwasababu ya usingiz tena nilikua napata max nzuri sec hadi chuo hadi watu mwisho wa siku wakawa wananiuliza how come??
Hadi saivi napenda kulala sipend kukaa bila kufanya kitu lazima nilale tu na kuna muda sipend kampani ya mtu yoyote yule
Nakumbuka kuna siku tulikua tunapiga story na wana kumbe mi kitamboo nishasinzia ila kizuri walikua wamenizoea so sikuichukia hali yangu
mwalimu wa sec walinipa jna la USHITU -Upungufu wa SHIbe Tumboni
Lect akanambia nina Sleeping sickness maana nilikua vet