Soma hii muhimu sana

Kama unasinzia ivyo na ushuzi haukuponyoki hamna shida.

Mimi hapa hadi hua naamua kutokulala hata siku tatu au nne niukusanye usingizi ili nikija kulala niufaidi.
 
Karibu Lutindi Mental Hospital mkuu hakuna shaka hilo tatizo lako watalipatia namna sababu kuna wengine ambao huwa hawalali kabisa na wapo mule na.wanapata utatizi, kwahivyo hata wewe nina imani utapata tiba hapo.
 
aliyesenzia taifa ni Le mutuz,tuambie kama mna uhusiano wowote.

ila mkuu ukisinzia unakoroma[emoji16][emoji16][emoji16],kama haukoromi basi hamna tatizo sana.
 
Duh we noma. Wapne wataalam wa saikolojia.
 
Karibu Lutindi Mental Hospital mkuu hakuna shaka hilo tatizo lako watalipatia namna sababu kuna wengine ambao huwa hawalali kabisa na wapo mule na.wanapata utatizi, kwahivyo hata wewe nina imani utapata tiba hapo.
Siipo huko nchin

Mzee
 
Mimi mwenyewe nishaachwa na basi Mara kadhaa mkuu; siku hizi nisha acha kukuta ticket mapema; huwa nazikitia apo apo navyoondoka.

Sleeping sickness Mimi pia kuna mda inanichukuaga sana;/ kama nikiwa idol sina kazi za kunichangamsha apo jua kinafuata nikupiga usingizi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…