SoMa HaPA!!!!!

SoMa HaPA!!!!!

miksel

Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
63
Reaction score
6
wakuu wa na jamvi nina tatizo kidogo computer yangu iko slow sana nimejaribu kupenguza vitu lakini bado sijui nifanyaje

msaada plz
 
re-boot hiyo pc... labda kuna trojan wameingia humo wewe hujui na antivirus yako haijavikamata..
 
toa maelezo mjazo na yakutosha vinginevyo utapata dawa inayotibu ugonjwa usioumwa ikawa sumu ya kukumaliza
 
yani computer iko slow sana nimejaribu kufuta v2 lakini wapi,,, yani ukifungua file inakaa muda ndo inafunguka
 
wakuu wa na jamvi nina tatizo kidogo computer yangu iko slow sana nimejaribu kupenguza vitu lakini bado sijui nifanyaje

msaada plz
Hilo tatizo limeanza lini? umekuwapo na hiyo computer yako kwa muda gani? Hebu tuambie specifications za computer yako. Muhimu RAM, HDD, na Processor.
 
Computer hii ninayo toka mwaka 2010 .ram ni 1 gb,,,
 
Computer hii ninayo toka mwaka 2010 .ram ni 1 gb,,,
Hili tatizo ni gumu sana ku-lisolve kwa mbali ila kitu unachoweza fanya ni 1) Uninstall program - Angalia kwa makini kila line ndani ya hiyo window ukiona kuna program yoyote ambayo hukumbuki kama umeinstall itoe. 2)post screen print ya task manager- performance tab. Km hii kwenye picha.
 

Attachments

  • Task manager.jpg
    Task manager.jpg
    42.1 KB · Views: 95
wakuu wa na jamvi nina tatizo kidogo computer yangu iko slow sana nimejaribu kupenguza vitu lakini bado sijui nifanyaje

msaada plz

Tafuta program zipo zitakazoboost speed ya pc yako kama Glary Utilities, PerfectSpeed, Ccleaner, WinUtilities, Tuneup Utilities, Comodo PcTuneup nk.
Halafu hakikisha unapoUninstall program utumie Uninstaller programs kama Revo, YourUninstaller, ComodoProgramManag(CPM)er nk. au scan junk files na kuzidelete na hata restore points labda zimezidi. Pia fanya Disk defragment. ok¿?!
 
Nenda task manager kwa kubonyeza control alt del kwa pamoja, check n process ipi inatumia asilimia kubwa ya cpu, then nijulishe.
 
Back
Top Bottom