Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Mie nakumbishia hiyo App bado kuna tatizo upande wa notification yaani kama kwangu zilizopo ni za siku saba nyuma nikitaka kuziona mpya basi mpaka nitumie Web.

Naomba ufafanuzi wa hili Wakuu.

CC: JamiiForums.
 
Mkuu Sosoliso, asante kwa feedback.

Tunakushukuru kwa kutambua baadhi ya maboresho na kuyaainisha. Tunaendelea kufanya maboresho zaidi kwenye baadhi ya maeneo machache yaliyosalia.

Pamoja!
hivi, kwa mfano like zikionekana zote kuna tatizo gani?.
 
Bora nyie wa 6 days agoo mm zinaonekana za mwaka jana
 
JF app ya sasa ni ya KIBOYA sijapata ona.

Hakuna notification. Mods wa JF wamelala usingizi kabisa wamekuwa kama yule anayesema uchumi unakua halafu anaenda kutembeza bakuli kuomba hela kwa watu wasiojulikana.

JamiiForum ya HOVYOOOOOOO !

Mods pambaneni na JF yenu, sio mnakazana kugawa ban za HOVYO. ndio. ban za HOVYOOO !

PAMBANENI NA HALI ZENU MODS.
 
Reactions: PNC
bora nirejee freebase maana naona hakuna I jipya notification napata za miaka ya nyuma mpya sizioni
 
Ulianzisha thread ya nini kama huwezi kufanyia kazi inquiries wala hutoi progress ya ahadi zako?
Boring
 
Naomba namna ya kurudisha version ya zamani please!
 
We mzee app yako haitoi notification.... umekaa kimya hujibu watu acheni kuzingua
 
Mkuu naomba nitolee uzi wangu wa vuta chochote kwa sukari kwenye jukwaa la matangazo madogo, thread zangu zikae jamii inteligence pekee tafadhali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…